Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Napenda kuwauliza waungwana kutokana na kusoma wizi wa jana huko banki ya NMB temeke.
pamoja na masikitiko makubwa niliyopata lakini nimekuwa najiuliza mfano ungekuwa wewe ni mteja umebeba pesa zako say 2,000,000 unataka kuweka kwenye akaunti yako na upo katika foleni ukisubiri kuweka.
sasa kabla ujafika kwa teller wakatokea majambazi kama yale ya NMB Temeke yakawapiga na kuwataka mlale chini kisha kuwaibia wateja pamoja na wale ma teller.
Tunajuwa pesa za bank ikiwa pamoja na wafanyakazi wao wana insurance cover hivyo watatibiwa na pesa bank zitalipwa na Bima ikibainika hakuna uzembe wa bank katika ulinzi.
Suala langu mteja aliyekuwa kwenye foleni ndani ya bank, je yeye ana insurance cover ya bank na vipi kuhusu pesa zake ambazo alikuwa hajazikabidhi kwa teller nazo zitakuwaje.Nini haki yake?.
napenda wanasheria wenzangu na wengine wote tuliangalie hili ili tuwasadia wale ambao wamepata masahibu hayo.
Natoa hoja.
Nasriyah Saleh Al-Nahdi.
Doha. Qatar
pamoja na masikitiko makubwa niliyopata lakini nimekuwa najiuliza mfano ungekuwa wewe ni mteja umebeba pesa zako say 2,000,000 unataka kuweka kwenye akaunti yako na upo katika foleni ukisubiri kuweka.
sasa kabla ujafika kwa teller wakatokea majambazi kama yale ya NMB Temeke yakawapiga na kuwataka mlale chini kisha kuwaibia wateja pamoja na wale ma teller.
Tunajuwa pesa za bank ikiwa pamoja na wafanyakazi wao wana insurance cover hivyo watatibiwa na pesa bank zitalipwa na Bima ikibainika hakuna uzembe wa bank katika ulinzi.
Suala langu mteja aliyekuwa kwenye foleni ndani ya bank, je yeye ana insurance cover ya bank na vipi kuhusu pesa zake ambazo alikuwa hajazikabidhi kwa teller nazo zitakuwaje.Nini haki yake?.
napenda wanasheria wenzangu na wengine wote tuliangalie hili ili tuwasadia wale ambao wamepata masahibu hayo.
Natoa hoja.
Nasriyah Saleh Al-Nahdi.
Doha. Qatar