Wakulu salama....??
Jana nlikuwa shamba katika kusheherekea sikukuu yetu ile nikakutana na picha nlowapigeni enzi hizo.
Mnaviona hivyo vidume viwili ambavyo havijavaa kaptula? Wa kushoto ni
BAGAH na mwingine ni
Erickb52
Kisichana kilichotinga blue ndo
Mamndenyi wakati cha kulia kabisa ndio
ummu kulthum. Kushoto mwa Erickb52 ni
KARIA nyuma yake ndo
princess enny. Kidume kilicho mbele bila shati ndio
Kaizer sasa. Kulia kwa Kaizer ni
kilimasera na kushoto kwake ndio
Madame B. Nyuma ya Madame B yuko
Judgement. Hako kalikobebwa na
Kongosho ndio
charminglady. Anayechungulia kwa nyuma kabisa ni
HYGEIA wakati yule tall kuliko wote ndio
Eversmilin Gal
Hapa ni
beibe nasty,
wahida,
Cantalisia na
Catherine wakikata mkonyonyo. Radio ya philips haionekani hapo wala DJ
Bishanga naye kamera haikumnasa
Sasa hebu angalia watu wanavyobadilika:
Mentor na
Catherine
Kongosho akimshikisha adabu
Erickb52
Bishanga akiwa kishashiba
@Mamndenyi akimchekesha
Yummy
Kaizer akimsindikiza
mwaJ
charminglady na
platozoom
Wake zangu
Yummy,
BADILI TABIA na
cacico, ile albamu nyingine mmeiweka wapi??