Wana Chemba na Wana East Zu Dodoma

MwanaChemba East Zu

New Member
Joined
Jul 17, 2021
Posts
4
Reaction score
7
Salamu ndugu zangu na wakubwa shikamooni.

Kutokana na kifo cha Albert Mangewa na Mez B pia kiongozi Noorah hafanyi tena music sababu za familia.

Wanachemba tuko wengi sana na tunaweza chama letu lifahamike Dunia nzima.

Nashauri Dark Masta awe kiongozi wetu
 
Wewe ni mwanachemba halisi ama? Huyu ndiye atakuwa nembo ya kudumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…