NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Heshma kwenu magreat thnker na wenye itikati za kumkomboa Mtanzani kutoka kwenye uongozi wa mashetan,machokolaa,waliolaaniwa pia waliokosa u2 hata roho za huruma.ingawa cku zao znahesabka
mim nilikuwa nafikiria kesho mtoto wa malkia atakapokuja huko arusha mcmsucse ila ndo muda muafaka wa kuitangazia dunia uchafu unaofanywa na viongoz wa ccm hapa nchn?
1)andiken jinsi watoto wa masikin wanavokosa kusoma kwa kutapelwa mikopo
2)andikeni jinsi Demokracy ye2 inavobakwa
3)semen suala la ufisadi ambapo hata raic anashndwa kulaani badala yake anakuwa wa kwanza kuwanad kwenye uchaguz
3)andikeni jins w2 wanavofungwa bla hatia na kubambikiziwa kec
kila m2 aongeze analolkumbuka
So COZ KUTAKUWA NA VYOMBO VYA HABAR VYA KIMATAIFA Tufanye hvyo 2spoteze h nafac.
MUNGU AWABARIKI SANA
Karibuni kwa michango
mim nilikuwa nafikiria kesho mtoto wa malkia atakapokuja huko arusha mcmsucse ila ndo muda muafaka wa kuitangazia dunia uchafu unaofanywa na viongoz wa ccm hapa nchn?
1)andiken jinsi watoto wa masikin wanavokosa kusoma kwa kutapelwa mikopo
2)andikeni jinsi Demokracy ye2 inavobakwa
3)semen suala la ufisadi ambapo hata raic anashndwa kulaani badala yake anakuwa wa kwanza kuwanad kwenye uchaguz
3)andikeni jins w2 wanavofungwa bla hatia na kubambikiziwa kec
kila m2 aongeze analolkumbuka
So COZ KUTAKUWA NA VYOMBO VYA HABAR VYA KIMATAIFA Tufanye hvyo 2spoteze h nafac.
MUNGU AWABARIKI SANA
Karibuni kwa michango