Wamiliki wa Shisha wataka kukutana na Makonda na Waziri Mkuu

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961


Baada ya marufuku aliyoitoa Makonda na waziri mkuu kupiga marufuku uvutaji wa shsisha, wauza shisha wametaka kukutana na Makonda na waziri mkuu ili kujadiliana na namna nzuri ya kuendesha biashara yao
wamekiri kuwa shisha inasababisha madhara mbalimbali kwa binadamu kama kansa, kuoza fizi, wanawake kujifungua wataoto wenye uzito mdogo,magonjwa ya moyo na magonjwa ya ngozi.
Amesema kwa sasa hivi wamefunga biashara zao hadi watakapokutana na mkuu wa mkoa pamoja na serikali
 
Hivi inaruhusiwa kuomba kuhalalisha kitu kilichokataliwa na serikali? Au wana hoja gani zaidi? Nasubiri kuona huo mjadala kama watapewa hiyo nafasi


Baada ya marufuku aliyoitoa Makonda na waziri mkuu kupiga marufuku uvutaji wa shsisha, wauza shisha wametaka kukutana na Makonda na waziri mkuu ili kujadiliana na namna nzuri ya kuendesha biashara yao
wamekiri kuwa shisha inasababisha madhara mbalimbali kwa binadamu kama kansa, kuoza fizi, wanawake kujifungua wataoto wenye uzito mdogo,magonjwa ya moyo na magonjwa ya ngozi.
Amesema kwa sasa hivi wamefunga biashara zao hadi watakapokutana na mkuu wa mkoa pamoja na serikali
 
Kwa hali hiyo basi ata wale wa poda na wida nao wataomba kikao cha namna ya kufanya biashara zao.
 
Hivi inaruhusiwa kuomba kuhalalisha kitu kilichokataliwa na serikali? Au wana hoja gani zaidi? Nasubiri kuona huo mjadala kama watapewa hiyo nafasi
inawezekana, kama WHO wameona ni safe enough na wameruhusu room for negotiation ipo
 
Hivi inaruhusiwa kuomba kuhalalisha kitu kilichokataliwa na serikali? Au wana hoja gani zaidi? Nasubiri kuona huo mjadala kama watapewa hiyo nafasi
wanataka wasaidiwe kuomba msamaha kwa madhara waliyo wasababishia watanzania...na kama serikali ikiona ya faa wanataka serikali kuwasaidia pia kulipa fidia kwa walioathirika kwa kutoa asilimia 30 yafidia(serikali iliwatoza kodi ) na wao wamalizie sabin I asilimia. .....Ninawaza kama Tanzania ingebahatika kupata waungwana wa namna hii! !!
 
Hivi inaruhusiwa kuomba kuhalalisha kitu kilichokataliwa na serikali? Au wana hoja gani zaidi? Nasubiri kuona huo mjadala kama watapewa hiyo nafasi

kumbe inawezekana kufanya majadiliano na serikali....

tutegemee makundi mengne kama wavuta bangi, makahaba na mashoga wakitaka majadiliano na serikali.

pengne ni maendeleo.
 
Naona kama vita baridi inakuja vile.... Haya mavitu yanatakiwa yaachwe ila watu wapewe maonyo tu kuwa yana madhara Mbona Sigara iliwezekana, Pombe aina nyingi... Kuingilia Biashara za watu kwa Sababu za Kiafya si sawa kwani vitu vingi vina madhara kiafya na yanaachwa pasipo kugusiwa...

Nguruwe ni Haramu na Hatari kwa Afya, - Serikali Ok

Maji ya Kunywa ya Visima ni Hatari kwa Afya - Serikali ok

Barabara zenye Mashimo ni hatari kwa maisha ya Muendesha na muendeshwaji wa chomo cha Moto- Serikali ok

Uchafu uliokithiri maeneo ya kuishi ni Hatari

Kuna vitu vingi vikiwekwa sawa maisha yanajiseti yenyewe vizuri... Serikali ingeanzisha forums ya kuishauri

Sasa Wasomali ndio kilevi chao kikuu naona wanaanza kukerwa Mirungi ilizuiliwa wakatulia sasa Shisha???
 
Hivi inaruhusiwa kuomba kuhalalisha kitu kilichokataliwa na serikali? Au wana hoja gani zaidi? Nasubiri kuona huo mjadala kama watapewa hiyo nafasi
hayo madhara pia hutokana na kuvuta sigara na kunywa pombe, sasa wafunge viwanda vya sigara na wazuie mabaa yote wasiuze pombe, na pia wasisahau kuzuia viroba.
 
Nilijua tu.. Na kuna sehemu niliandika kua hio kitu ni gharama na kuna watu wamewekeza pesa zao hapo kuna watu wakabisha... Haya tusiongee chochote , ngoja tuone respons kwanza
 
Naona kama vita baridi inakuja vile.... Haya mavitu yanatakiwa yaachwe ila watu wapewe maonyo tu kuwa yana madhara Mbona Sigara iliwezekana, Pombe aina nyingi... Kuingilia Biashara za watu kwa Sababu za Kiafya si sawa kwani vitu vingi vina madhara kiafya na yanaachwa pasipo kugusiwa...

Nguruwe ni Haramu na Hatari kwa Afya, - Serikali Ok

Maji ya Kunywa ya Visima ni Hatari kwa Afya - Serikali ok

Barabara zenye Mashimo ni hatari kwa maisha ya Muendesha na muendeshwaji wa chomo cha Moto- Serikali ok

Uchafu uliokithiri maeneo ya kuishi ni Hatari

Kuna vitu vingi vikiwekwa sawa maisha yanajiseti yenyewe vizuri... Serikali ingeanzisha forums ya kuishauri

Sasa Wasomali ndio kilevi chao kikuu naona wanaanza kukerwa Mirungi ilizuiliwa wakatulia sasa Shisha???
mkorogo - serikali ok
pombe - serikali ok
viroba - serikali ok
gongo - serikali ok
sigara - serikali ok
ukiota usiku asubuhi uzungumze pumba - serikali ok
ukikurupuka unasema chochote unachotaka - serikali ok
yaani serikali hii ya awamu ya 5 ni vichekesho tu.
 
Kwa hali hiyo basi ata wale wa poda na wida nao wataomba kikao cha namna ya kufanya biashara zao.
Usishangae mkuu, mbona wauza gongo huwa wanafanya vikao na polisi na biashara inaendelea kila mahali nchini!
 
Shisha mbaya jamani ile tusingestuka baada ya miaka 10 nusu ya watanzania wangekuwa mateja
Wauzaji ili kunogesha biashara wanachanganya na dawa za kulevya kwa mbaaali ili kesho uje tena
Halafu ulevi mwingine bana,unapita sehemu mtu mzima anavuta bomba reefu kama mganga wa kienyeji
 
Shisha mbaya jamani ile tusingestuka baada ya miaka 10 nusu ya watanzania wangekuwa mateja
Wauzaji ili kunogesha biashara wanachanganya na dawa za kulevya kwa mbaaali ili kesho uje tena
Halafu ulevi mwingine bana,unapita sehemu mtu mzima anavuta bomba reefu kama mganga wa kienyeji

kweli kabisa, nashangaa sana wanaotetea shisha....hao wauzaji wakavute wao na familia zao, case closed for good!
 
Naona kama vita baridi inakuja vile.... Haya mavitu yanatakiwa yaachwe ila watu wapewe maonyo tu kuwa yana madhara Mbona Sigara iliwezekana, Pombe aina nyingi... Kuingilia Biashara za watu kwa Sababu za Kiafya si sawa kwani vitu vingi vina madhara kiafya na yanaachwa pasipo kugusiwa...

Nguruwe ni Haramu na Hatari kwa Afya, - Serikali Ok

Maji ya Kunywa ya Visima ni Hatari kwa Afya - Serikali ok

Barabara zenye Mashimo ni hatari kwa maisha ya Muendesha na muendeshwaji wa chomo cha Moto- Serikali ok

Uchafu uliokithiri maeneo ya kuishi ni Hatari

Kuna vitu vingi vikiwekwa sawa maisha yanajiseti yenyewe vizuri... Serikali ingeanzisha forums ya kuishauri

Sasa Wasomali ndio kilevi chao kikuu naona wanaanza kukerwa Mirungi ilizuiliwa wakatulia sasa Shisha???
Kwanza watumiaji wa hiyo kitu ni wachache, mbona bangi haishughulikiwi? Watu wengi nchi nzima wanaathiriwa na bangi
 
Back
Top Bottom