pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 4,643
- 3,020
Inapatikana hadi vijijini?Hizo zilikuwa data pekee ona za data na dakaka ..jmn turudi nyumbani kumenogaView attachment 959622View attachment 959623View attachment 959624
Inapatikana hadi vijijini?Hizo zilikuwa data pekee ona za data na dakaka ..jmn turudi nyumbani kumenogaView attachment 959622View attachment 959623View attachment 959624
Jiwe hana mikakati ya kutengeneza pesa zaidi ya kutumia tu zilizopo na kukopa mapesaa ya Kujenga mareli na kununua ndege...! Akiondoka atakaefata kazi anayooo...Trending will change very soon just be patient
Na mimi kuna siku niliwaonya juu ya ununuzi wa hizi hisaNilipowaonya watu juu ya ununuzi wa hisa za Voda, wengi walinibeza na kesho yake PM akaenda kumnunulia mke wake hisa za milioni kumi.
Sasa nadhani wote mmeona nilichokuwa nawaambia.
mkuu ndio biashara inavyokuwa, kwahiyo hata gawio litapungua maana kampuni haifanyi vizuri vilivyo ila itarudi kwenye mhimili Mungu awajalie
Hamna namna mkuu maana Mambo mengine hayaepukiki. Ila wapunguze ghalama za huduma. Kwa takwimu huenda Halotel na Tigo wamewapiku kuwa na wateja wengiHii ni huduma ghali sana lakini bado unaitumia na wao wanapigia pesa hapo hapo
Hivi umesoma na ukaelewa au umekimbilia tu kujibu ?Acha uongo tulinunua kwa TZS 800 na wala si 750. Wewe si mwanahisa hujui kitu. Nenda kanywe mataputapu na vihabari vyako uchwara huko!
Bado umeuza kwa hasaraAcha uongo tulinunua kwa TZS 800 na wala si 750. Wewe si mwanahisa hujui kitu. Nenda kanywe mataputapu na vihabari vyako uchwara huko!
Hata mimi nimeona ... anafanana naye kidevu na kipajiMbona huyu kiumbe kama anafanana na yule baba
Uko sawa kabisaVodacom wanafukuza wateja wao wenyewe kwa huduma zao kuwa ghali ukilinganisha na makampuni mengine ya simu. Ukiweka TSH 500 Vodacom ununue muda wa maongezi mitandao yote hutatamani. Mimi namiliki laini yao kwa ajili ya kuweka, kutuma na kupokea pesa kwa M-PESA
Shokagha khukaya kwabelile ghette.( Rudi Nyumbani kumependeza kabisa.)Solaka ghokaya kwabelile gheteee.....