Bado ni muongo!Wewe nae akili yako ina makengeza kasema walinunua 900 na sasa wanauza 750.
Solaka ghokaya kwabelile gheteee.....Welcome back and onboard TTCL nyumbani kumenoga
🤐🤐🤐🤐🤐Tunaogopa
View attachment 959625
Wekezeni kwa long term strategies mtakuja kujilaumu baada ya miaka 3 hisa zikipanda thamani na kufikia sh 5000 kwa hisa moja
Unaonyesha upeo wako ilivyo mdogoWewe nae akili yako ina makengeza kasema walinunua 900 na sasa wanauza 750.
Utalia uza harakana mm sijui niuze zangu !!
Don't sell nimekumbuka rosta anataka uza share zake kwa vodacom south.. So utalipwa vizurina mm sijui niuze zangu !!
Never sio kwa utawala huuWekezeni kwa long term strategies mtakuja kujilaumu baada ya miaka 3 hisa zikipanda thamani na kufikia sh 5000 kwa hisa moja
We ni Majaliwa...Acha uongo tulinunua kwa TZS 800 na wala si 750. Wewe si mwanahisa hujui kitu. Nenda kanywe mataputapu na vihabari vyako uchwara huko!
Wewe mkuu wanivuja bavu na kichekoNyie uzeni Sisi tupo na uwekezaji wa maviwanda tutaheshimiana tu 2020
5,000 hisa moja, mkuu soma historia ya share za safaricom kenya kenyaWekezeni kwa long term strategies mtakuja kujilaumu baada ya miaka 3 hisa zikipanda thamani na kufikia sh 5000 kwa hisa moja