Wametoa mimba sasa hawana amani wanadaina mtoto "msaada"

i think

JF-Expert Member
Apr 20, 2014
361
72
Kuna mdogo angu mmoja jana alinifuata baada ya kutoka kanisani. Alikuwa na huzuni kubwa na majuto makubwa kwa kumtazama tu. Akaniambia kaka kuwa uyaone kwangu nishayao na naumia sana.

Akafunguka kuwa yeye alimpa msichana wake wa mda mrefu mimba. Lakini wakafanya siri kubwa huku wakijua kuweka wazi ni kes kubwa sana katka familia zao.

Mwanamke alihitaji kuendelea kusoma akasema watoe na mdogo wangu akajiona hana FUTURE bado akakubali na alisema msichana wake alikuwa imara na hana hofu.

Mdogo wangu akatafuta hela msichana akaenda toa ingawa aliumwa sana akamshukuru mpenzi wake kwa ushirikiano na kujtoa kwake kuwa nae pamoja.

TATIZO LIMEANZA MWEZI MMOJA TU BAADA YA KUTOA. HAWANA RAHA WANAJILAUMU HAWAONI JIPYA KATI YAO KILA WAKIMWONA MTOTO MAUMIVU.

MSICHANA NDO KAZIDI SAA 9 USKU ANAPGA SMU KUMDAI MTOTO WAKE ANAMWAMIA NILETEE MWANANGU USKU HUU.

KIUKWELI HAWAKAO MBALI WATACHANGINYKIWA MDOGO ANGU ANAMPENDA MSICHANA BADO. KATUBU LAKINI MOYO HAUJATULIA.
WANAONEKANA WALKURUPUKA NIN USHAURI WAKO NIWAPE.

NOTE: MTOTO NI ZAWADI
 
pole yao.....damu ya mtoto inawalilia.....si jambo rahisi kutoa uhai wa mtu hata kama ni mimba.....kile ni kiumbe......

wakatubu kanisani.....wapate na msaada wa kiroho......
 
Kuna wazoefu wa kuchoropoa mimba, ngoja waje wakupe ushauri uliosimama wima..!
 
Ndo tabu ya kudate under-age. Sasa binti anadai aletewe mtoto yupi tena? Mwambie mdogo wako ampe mimba nyingine
 
.... wakimuona mtoto maumivu...
Msichana ndio kazidi, anapiga cmu saa 9 usiku....
Daah, very sad!
 
Naam huyu naye pia katumwa na rafiki yake....JF ina marafiki wengi sana sana sweetlady
 
Last edited by a moderator:
Ndo tabu ya kudate under-age. Sasa binti anadai aletewe mtoto yupi tena? Mwambie mdogo wako ampe mimba nyingine

swala siyo age....bali nafsi yake inamsuta na kumhukumu......na kwasababu nafsi yake bado ipo hai ndiyo maana jambo hilo linamtesa......kuna watu nafsi zimekufa ndiyo maana kuua kwake anaona kawaida.....na hala haimsumbui........ukiona unatoa mimba na uko poa like hakuna ulichokifanya ujue nafsi yako imekufa.......
 
pole yao.....damu ya mtoto inawalilia.....si jambo rahisi kutoa uhai wa mtu hata kama ni mimba.....kile ni kiumbe......

wakatubu kanisani.....wapate na msaada wa kiroho......

n kwel zile tamaa zao zote za kutaka kusoma kupenda ujana zmemezwa na majuto
 
.... wakimuona mtoto maumivu...
Msichana ndio kazidi, anapiga cmu saa 9 usiku....
Daah, very sad!

mtoto n baraka hata mwanaume akmbie ukja zaa anakufarj angalau.ila mtu aktoa mimba akaumwa sana akauguzwa anaona bora angeljua angelzaa tu
 
sijishukii nmefunguka kuonyesha experience kwani ngenyamaza ungejua nimetilia mkazo. najiamini nijishtukie kwani nmepewa mgao wa ESCROW
Weeeee wa ESCROW wanajiamini mpaka unashangaa... We mtu kasimama kasema IN GOOD FAITH hadharani mchezo.... Vijisenti mwenyewe alikuwa kimyaa
 
Back
Top Bottom