Hii sasa too much, nina uncle yangu anapenda sana kutupa mialiko kwake, sharti lake la kwanza ukiingia kwake kaweka kapu pembeni ya kabati ukifika tu zima simu weka ndani ya kapu ndio ukae, hutaki nenda kwako hii nahisi imesaidia sana maana nikienda nahisi kama nimeweka mzigo fulani na pia najihisi kama mtu mpya kabisa,