Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,388
- 19,394
Wamesema Serikali Tatu gharama na wananchi hawataki Serikali 3 wanataka Amani na Maendeleo.., Sasa sababu maendeleo yanaendana na kupunguza gharama na uwajibikaji, Je ikifika wakati wa kujadili haya itakuwaje :-
Hivi kweli hawa jamaa watakubali kupunguza idadi ya wao wenyewe au tusubiri watakuja na ngonjera gani kutetea viti maalumu na idadi lukuki ya wabunge, (au watanzania pia hawakusema kuhusu haya mambo) na ni vipi tutawabana pindi wakileta ngonjera hizo ?
- Kufuta viti maalumu / kupunguza idadi ya wabunge
- Mawaziri kutokuwa Wabunge
- Kufuta Wakuu wa Wilaya
- Kupunguza Madaraka ya Rais
- Kurekebisha Tume ya Uchaguzi
Hivi kweli hawa jamaa watakubali kupunguza idadi ya wao wenyewe au tusubiri watakuja na ngonjera gani kutetea viti maalumu na idadi lukuki ya wabunge, (au watanzania pia hawakusema kuhusu haya mambo) na ni vipi tutawabana pindi wakileta ngonjera hizo ?