Wamasai nao kwa ubishi

MC babuu

Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
69
Reaction score
10
Kijana mmoja wa kimasai alinda dukani akaulizia bei ya soda ilikuwa hivi:
mangi-karibu rafiki,nikusaidie nini?
Masai-shee unisaidie?kwani nimekuambia sina hela?
Mangi-(kimya)
masai-cocacola bei gani?
Mangi-mia sita
masai-nipatie ile ya baridiii
mangi akampa na kufungua masai akanywa nusu na akampa mangi tsh mia tatu na ile soda iliyobaki akaiacha mezani.
mangi-aisee mbona unatoa hela nusu?
Masai-ata soda sijamalisa nimekunywa nusu tu
mangi-hamna hilo lazima utoe pesa yote apa (mia sita) we unafikiri nitapeleka wapi iyo nusu?
Masai-watakuja wateja wengine wanaotaka nusu utawauzia iyo(huku anakimbia)
mangi-hii imekula kwangu sasa naimalia mwenyewe kwa mkopo ntalipa tu.#kwel mang kiboko ila masai zaidi.
 
Dont involve yourself in outdated jokes! or are you yourself outdated? take care.
 
Kumbe dawa la Mangi ni dogo sana Rafiki <Masai> kwisheni.:A S cry:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…