Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,919
- 16,878
Mtu mmoja kwenye mkutano wa Trump jimboni Ohio amesikika akisema " Zamu hii uwe kama yule Shujaa wa Africa aliyewalinda Watu wake wakati wa COVID 19"
Wengi wametafsiri Mzungu huyo alimaanisha Mwanasayansi Shujaa Magufuli
Nawatakieni Dominica Njema 😄
Wee Joni una tatizo