Walokole sijui mnakwama wapi?

Walokole sijui mnakwama wapi?

Bwii89

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
1,001
Reaction score
1,025
Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuokoka hakumaanishi kuwa tabia chafu zinaondoka. Unless mtu mwenyewe aamue kuacha kabisa.
Wengi wa hivyo wanaokoka ili kuficha dhambi zao...
Wako wanakwaya kabisan lakin ni malaya experienced kabisa.
So kuokoka hakumfanyi mtu kuwa na tabia njema
Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi hawana uokovu wa kweli wanaenda kwny makanisa kwa shida zao binafsi
 
Muulize huyo anapokwama,usitujumlishe walokole wote km waongo

Kuokoka sio guarantee kwamba hutatenda dhambi ama kujaribiwa na shetani

Halafu pia hiyo Ni tabia ya mtu binafsi..kwanini ugroup walokole wote km wanafiki kwa sababu tu ya huyo mmoja?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisamehe bure! Ila wote 5 nlodate nao ni wanafiki wakutupwa! Cjui ww!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole
Ila jua tabia ya mtu Ni Kama ngozi
Ukiona hivyo ujue Ni wale wanaokiri mdomoni Kama wanampenda Mungu lakini mioyoni mwao hakuna Mungu....
Hata kwenye maandiko ipo

Pia unapotafuta mtu usichukulie ulokole kma kigezo cha kuwa na mtu...weka ulokole wake pembeni muangalie yeye kwanza km anafaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmoja alikua mwanakwaya!mwengine alikua kiongoz,cjui kacheo gn tuseme wote wa mdomoni tu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
ungeelezea ivo visa tungejua nini asa ulichofanyiwa,
otherwise usihukumu watu woye kwa kosa ulilotendewa na mtu mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mkuu walokole wengi wamechanganikiwa, ukimtongoza tuu kitu chakwanza anataka uende kanisani kwao, ukishaenda kanisani kwao jiandae kwa mapicha picha, kuna moja nilimtongoza akaniambia niende kanisani kwao mzee mzima nikajitosa, he baadae akaniambia niakawaone wazee wakanisa niwaeleze kuwa nampenda yeye, ha! Nilimtukana matusi ya nguoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulipaswa kujua maana ya wokovu ndio ungeleta uzi humu,inavyoonyesha hao hawakuwa walokole bali wamejificha kwenye ulokole kwa sababu wanazozijua wenyewe NA hata wewe mwenyewe ulivyoshawishiwa kuokoka uliokoka kwa sababu zako binafsi ndio maana hizo vita ulizokumbana nazo zikakushinda...
 
Back
Top Bottom