Bwii89
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,025
Nimekua ktk mahusiano kadhaa na mabinti wakilokole,tulipokua tunaanzana walinilazimisha kuokoka,nlifanya ivo ili kuongeza maombi,tatizo linakuja pale unapobaini mwenzi wako n mwongo na mnafiki.Hawa watu cjui ulokole wao uko wapi..mana visa nlofanyiwa cwez eleza hapa..majemedar wenzangu mnatumia mbinu zipi kushinda vita? Naruhusu mapofuu ya omo pia!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app