Kwanza nikupe hongera na pole ya kuangalia hicho kituLeo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Hapa ni zaidi ya udsmKweli nimeamini JF members mko vizuri
Wanatueleza ya kutoka moyoni mwaoUnazani dk. Lyoba aipendi kazi yake..
Mwache alee watoto wake kwa furaha kama baba wa familia.
Nukuu kutoka kwa waziri wa viwanda mwijage.
Acha mihemko TBC wapo Sawa maana Ukonga piga ua Waitara mshindi na monduli ni kalanga! UnabishaSi unajua sisi wengine ni kinatomaso?
Muda mwingi nilikuwa natazama ITV na AZAM TV.
Leo nikasema ngoja niangalie ufungaji kampeni kupitia TBC, mfyuuu aibu tupu
Hata mngekuwa nyie mngefanya walivyofanya TBC.Ni lazima upime upepo na kujua wakubwa wako wantaka nini.Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Pamoja sanaAsante kiongozi![]()
Mwandishi yupi huyo mtaje jina tukupe ukweliHata mngekuwa nyie mngefanya walivyofanya TBC.Ni lazima upime upepo na kujua wakubwa wako wantaka nini.
ITV waliripoti kuporwa sanduku la kura na baada ya muda wakaomba radhi na sina uhakika kama yule mwandishi bado ypo kazini.
Simkumbuki ila chaguzi wa kinondoni.Mwandishi yupi huyo mtaje jina tukupe ukweli
Mkuu leo ndo unalifahamu hilo...!Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
mkuu wala sio mnyama ni lichaneli la jiwe, ingawa pia jiwe halizai kama ulivyosema!Hivyo TBC ni mnyama gani? Sikumbuki kumfahamu mnyama huyu. Fikra zangu zinanielekeza kufikiri kuwa huenda ni mnyama aliyetoweka duniani sasa kabaki dume tu ambalo haliwezi kuzaa peke yake! Hivyo, kulijadili ni kupoteza muda maana hawezi kuongezeka. Mwenyewe anasubiri kufa.
Hahahaha wewe na akili zako timamu kabisa utaangaliaje TV ya hovyo namna hiyo?; Pole sana mkuu hii ndio chini ya utawala wa rais kichaa kama alivyosema yeye mwenyeweLeo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Neno "Television ya Taifa" ni nadharia tu lakini kiuhalisia hii ni siyo TV ya umma bali ni TV ya ccm na ilipaswa iitwe CCM TV badala ya kuendelea kunajisi jina la TaifaEti Televisheni ya taifa...
Waibatize tu kuwa ni Televisheni ya Chama na Serikali
Umetumia kanuni gani kupata hizo asilimia?Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.