Waliosema TBCCM hawakukosea.

Waliosema TBCCM hawakukosea.

Tangu Wafungie Azam Kuonesha Chanel Za Ndan Na Taarifa Ya Habari Nimebaki Kufuatilia Tamthiliya Ya Sultana.
 
Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Kwanza nikupe hongera na pole ya kuangalia hicho kitu
 
Unazani dk. Lyoba aipendi kazi yake..
Mwache alee watoto wake kwa furaha kama baba wa familia.

Nukuu kutoka kwa waziri wa viwanda mwijage.
Wanatueleza ya kutoka moyoni mwao
 
Si unajua sisi wengine ni kinatomaso?
Muda mwingi nilikuwa natazama ITV na AZAM TV.
Leo nikasema ngoja niangalie ufungaji kampeni kupitia TBC, mfyuuu aibu tupu
Acha mihemko TBC wapo Sawa maana Ukonga piga ua Waitara mshindi na monduli ni kalanga! Unabisha
 
Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Hata mngekuwa nyie mngefanya walivyofanya TBC.Ni lazima upime upepo na kujua wakubwa wako wantaka nini.
ITV waliripoti kuporwa sanduku la kura na baada ya muda wakaomba radhi na sina uhakika kama yule mwandishi bado ypo kazini.
 
Hata mngekuwa nyie mngefanya walivyofanya TBC.Ni lazima upime upepo na kujua wakubwa wako wantaka nini.
ITV waliripoti kuporwa sanduku la kura na baada ya muda wakaomba radhi na sina uhakika kama yule mwandishi bado ypo kazini.
Mwandishi yupi huyo mtaje jina tukupe ukweli
 
Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Mkuu leo ndo unalifahamu hilo...!
 
Hivyo TBC ni mnyama gani? Sikumbuki kumfahamu mnyama huyu. Fikra zangu zinanielekeza kufikiri kuwa huenda ni mnyama aliyetoweka duniani sasa kabaki dume tu ambalo haliwezi kuzaa peke yake! Hivyo, kulijadili ni kupoteza muda maana hawezi kuongezeka. Mwenyewe anasubiri kufa.
mkuu wala sio mnyama ni lichaneli la jiwe, ingawa pia jiwe halizai kama ulivyosema!
 
Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Hahahaha wewe na akili zako timamu kabisa utaangaliaje TV ya hovyo namna hiyo?; Pole sana mkuu hii ndio chini ya utawala wa rais kichaa kama alivyosema yeye mwenyewe
 
Eti Televisheni ya taifa...
Waibatize tu kuwa ni Televisheni ya Chama na Serikali
Neno "Television ya Taifa" ni nadharia tu lakini kiuhalisia hii ni siyo TV ya umma bali ni TV ya ccm na ilipaswa iitwe CCM TV badala ya kuendelea kunajisi jina la Taifa
 
Leo niliamua kuangalia TBC kuona watakavyo ripoti ufungaji wa kampeni za Ukonga na Monduli.
1. Monduli: TBC wameripoti taarifa za CCM tu.
2. Ukonga: TBC wameripoti 98% taarifa za CCM na 2% taarifa za CHADEMA.
Kama haitoshi wakaenda kuripoti taarifa za ufungaji kampeni za udiwani za CCM huko Tukuyu Mbeya.
Kwakweli mlioibatiza TBC kuwa ni TBCCM hamkukosea.
Umetumia kanuni gani kupata hizo asilimia?
 
TBC hata ikibakia yenyewe tu kwenye king'amuzi siwezi kuiangalia
 
Mkuu,bado unaangalia TBC mpaka hivi leo?
Jitahidi uende na wakati!
 
Back
Top Bottom