Waliosema Dk. Slaa, Prof Lipumba yatimia rasmi CHADEMA

Waliosema Dk. Slaa, Prof Lipumba yatimia rasmi CHADEMA

Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.

Wewe ni mwanasheri?
Sifa za kugombea urais ni pamoja na "KUTO KUSHTAKIWA MAHAKAMANI NA KUHUKUMIWA ", sio tu "KUSHTAKIWA " sasa hilo pingamizi litakuwa limepata hukumu lini?

Hivyo basi, hata ikiwa hivyo, japo haiwezekani!

Kesi ikifunguliwa leo mtuhumiwa atapata siku 21 za ku file majibu, baada ya hapo upande wa mashtaka na upande wa utetezi utapata angalau siku 14 za kupanga FTC (first trial conference ) hapo tayari Watanzania watakuwa wanaingiza kura Lowassa kwenye kibox.

Haya sasa watajitahidi kufanya fast track case kuanza Hearing ambayo inaweza kuchukua mwezi mmoja (kitu ambacho ni speed ya muujiza), hapo rais Mteule atakuwa anaapishwa!

Baada ya hapo tunaanza kusikia mara judge fulani kajiuzulu mara DPP aenda Marekani and the likes!
 
Kwani muda gani huu!!? Maana nahisi kama unaota mchana vile... nenda kamalizie usingizi.

Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.
 
Sasa ndio naanza kupata picha ni jinsi gana Uhuru Kenyatta alijiingilia ikulu kirahisi kiasi kile!

Huyu MTU anayesemwa ni mgonjwa, fisadi, hawezi kuongea zaidi ya dk 7, hana Sera mbona anaogopwa kiasi hiki na waliomkata?
 
Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.
Mkuu pole sana kama hujui hadi sasa, ni nani mwenye mamlaka kisheria kuweka pingamizi kwa mgombea urais wa jmt!!!! kwa hapa ngoma ilipofikia ni mwenyezi MUNGU tu. ndio muweza
 
Tutakuja kukaa naye mahakamani, kwa hilo hamtadhubutu, huko ni kumwongezea umaarufu.
 
Haona kura kuongezeka kama asilimia 20 hivi kwa tukio hili la kutaka kumshtaki mzee lowasa
 
Back
Top Bottom