assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.
ongea kisheria quote katiba na sheria za NEC sio kubwabwaja tu. sheria haingaliii kelele za watu inakata km msumeno
Mbona CCM mnahangaika sana wakati wenzenu Ukawa wametulia?Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.
Lowassa ni CCM B sasa anaenda kuwekewa pingamizi la kisheria kwa kuwa kesi inakaribia kupelekwa kwa Pilato. Sasa walioyatabiri yametimia sasa ukawa itakuwa ukiwa bila kuwa na mgombea uraisi.