Waliopata admission later udom tusaidiane

Waliopata admission later udom tusaidiane

Hb wa Ilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2015
Posts
1,190
Reaction score
1,217
sisi wa second selection majina bado hayajaja lakini naskia chuo knafunguliwa tarehe 2 kwa aliye na uelewa wa vitu vnavyoitajika kwa mwaka wa kwanza tusaidiane
 
Sure,hata mm dogo bado jina lake halijaenda
 
tupo wengi sana mimi nacte wameniandikia selected udom bt bado admission kuipata ni tatizo
 
CaptureH.JPG CaptureJ.JPG Capture.JPG hizi hapa medical form na registration forms za kujaza .
Chuo registration inaanza 31 oct na chuo kinafunguliwa tarehe 2 nov
 
'admission later'...unamaanisha nn kwa kiswahili...aliepata barua ya kujiunga na udom au aliechelewa kupata admission udom
 
Back
Top Bottom