Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,190
- 1,217
sisi wa second selection majina bado hayajaja lakini naskia chuo knafunguliwa tarehe 2 kwa aliye na uelewa wa vitu vnavyoitajika kwa mwaka wa kwanza tusaidiane
tupo wengi sana mimi nacte wameniandikia selected udom bt bado admission kuipata ni tatizo
View attachment 301823View attachment 301824View attachment 301825hizi hapa medical form na registration forms za kujaza .
Chuo registration inaanza 31 oct na chuo kinafunguliwa tarehe 2 nov
Mkuu Tafadhali Naomba Unitumie Kwenye Emaili Hii..lusatosospeter@gmail.com Nimeshindwa Kuzipakua Hapa Mkuu..Nisaidie
![]()
hizi hapa medical form na registration forms za kujaza .![]()
Chuo registration inaanza 31 oct na chuo kinafunguliwa tarehe 2 nov
madhara yake ni kutopokelewa chuoni,cdhan kama kuna madhara mengine.But haina madhara kwenda bila admission latter wakuu
Mkuu naomba nami unitumie kwenye hamisi12740067@gmail.com
sisi wa second selection majina bado hayajaja lakini naskia chuo knafunguliwa tarehe 2 kwa aliye na uelewa wa vitu vnavyoitajika kwa mwaka wa kwanza tusaidiane