Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Ndugu wanajamvi! Napenda kuulizia kama kuna watumishi (walimu sekondari) walioajiriwa 2011,na wanastahili kupanda madaraja na hawajapanda?.Je kuna watumishi ambao wamepandishwa madaraja kwa wale waajiliwa wa 2011?