Waliopanda madaraja sekta ya elimu

Waliopanda madaraja sekta ya elimu

Akasankara

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
4,268
Reaction score
5,815
Ndugu wanajamvi! Napenda kuulizia kama kuna watumishi (walimu sekondari) walioajiriwa 2011,na wanastahili kupanda madaraja na hawajapanda?.Je kuna watumishi ambao wamepandishwa madaraja kwa wale waajiliwa wa 2011?
 
Ndugu wanajamvi! Napenda kuulizia kama kuna watumishi (walimu sekondari) walioajiriwa 2011,na wanastahili kupanda madaraja na hawajapanda?.Je kuna watumishi ambao wamepandishwa madaraja kwa wale waajiliwa wa 2011?
wapo ila unaongelea halmshauri wenzako wakusaidie
 
Nahitaji halmashauri ambazo walimu wa sekondari walioajiliwa 2011 wamepandishwa madaraja.
 
bukoba manispaa walipewa barua mwezi wa nane na mishahara yao imepanda mwezi huohuo
 
Halmashauri Nyingi Bado, Huku Mtwara H/shauri Zote Bado Tunazeekea Na Kustaafia Madaraja Tuloajiriwa Nayo, Hasira Zote Nahamishia Kwenye Kisanduku Cha Kura Octoba, Ukawa Hata Wangesimamisha Jiwe Nawapa.
 
uku kwetu Geita tumepandshwa hadi wa 2012 cha ajabu wenzangu wote wa mikoa mingne yote wanasema bado mmmm Allah ni mwema
 
Wameambiwa wasubiri mwakani machi.nakwambia ni upuuzi.
 
Magu wamepandishwa wa 2011,barua na ongezeko lao hakuna till now.secondary.
 
Back
Top Bottom