Lai Otieno
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 311
- 90
VIJANA 27 wanaosaadikiwa ni kutoka vyama vya upinzani mjini Bunda wapo mikononi mwa polisi kufuatia Amri ya viongozi kuwa wakamatwe kwa kukosesha amani mkutano wa C C M.
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date.
UP DATE vijana waliokamatwa wamechiwa huru na wataitwa kama watahitajika,hii ni baada ya uongozi wa CHADEMA Bunda kuwatoa,baadhi ya vijana ni Dickson Manyama na Masanja hawa ni vijana a UVCCM ambao hawakuwa wanaafiki matusi ya Nape na watajiunga na CHADEMA.
OCD kusindikiza msafara wa Kinana Butiama hadi akirudi ndo tutawapa Up date.
UP DATE vijana waliokamatwa wamechiwa huru na wataitwa kama watahitajika,hii ni baada ya uongozi wa CHADEMA Bunda kuwatoa,baadhi ya vijana ni Dickson Manyama na Masanja hawa ni vijana a UVCCM ambao hawakuwa wanaafiki matusi ya Nape na watajiunga na CHADEMA.