Waliomuua Sista Dar Wakamatwa

Waliomuua Sista Dar Wakamatwa

Daaah yaan hata mwezi haujapita majambaz yashakamatwa nina mashaka na ushaid au vigezo vilivyotumika maana nnavyojua uchunguz kama huo mpaka uje ukamilike sio chini ya mwaka au miaka pengine labda tuwe na technolojia kubwa lakin sio kirahisi ivo kma anavyodai kova pia ni vigumu majambaz ambayo yanajua kuwa yamefanya uhalifu mkubwa kama huo yaendelee kukaa sehemu moja na wasijifiche...Hongera kwa Jeshi la Polisi kwa kuwajibika
 
Daaah yaan hata mwezi haujapita majambaz yashakamatwa nina mashaka na ushaid au vigezo vilivyotumika maana nnavyojua uchunguz kama huo mpaka uje ukamilike sio chini ya mwaka au miaka pengine labda tuwe na technolojia kubwa lakin sio kirahisi ivo kma anavyodai kova pia ni vigumu majambaz ambayo yanajua kuwa yamefanya uhalifu mkubwa kama huo yaendelee kukaa sehemu moja na wasijifiche...Hongera kwa Jeshi la Polisi kwa kuwajibika

Una uhakika na zoezi zima kwa kukamatwa majambazi mkuu, halafu unatoa hongera kwa jeshi la polisi kwa kuwajibika?!
 
Una uhakika na zoezi zima kwa kukamatwa majambazi mkuu, halafu unatoa hongera kwa jeshi la polisi kwa kuwajibika?!

si wanasema wamewakamata wanao sadikika na ninavyoijua nchi yangu kwa kuzima jambo ni namba hyo ni kuridhisha umma ionekana inafanya kazi.
 
Kova simuaminigi kabisa,kuna Police alinitonya kipindi yuko Mbeya alikuwa akiona amekaa mda mrefu bila kuuza sura kideoni anaita waandishi wa habari n' anatoa silaha mbalimbali store na kutengeneza story kwamba wamekamata majambazi sugu na kuwanyang'anya silaha ili aonekane anapiga kazi.Hiyo ndo ilimsaidia hadi akapata shavu la kuwa Kamanda wa Police Dar,so usikute hapo anaendeleza usanii wake
 
Nasikitishwa na utaratibu huu wa jeshi letu la Police (la kisasa) la kuvuruga upepelezi kwa kutoa taarifa za kila kitu inapotokea wamekamata washukiwa wa uhalifu...kuna maswali ya kujiuliza hapa...what if waliokamatwa sio wahusika wakuu, na kama wana mtandao ambao wanamtandao wengine wameshapata habari hizi kupitia hizi press comference huoni ni kama upatu wa kuwakimbiza? Nafikiri kuna mahali tunatakiwa tujitafakari upya!

Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
Kova amepoteza imani ya wananchi kwa jeshi la polisi. Akitangaza 10 kati ya hayo moja ndio linaweza likakaribia ukweli.
 
Nasikitishwa na utaratibu huu wa jeshi letu la Police (la kisasa) la kuvuruga upepelezi kwa kutoa taarifa za kila kitu inapotokea wamekamata washukiwa wa uhalifu...kuna maswali ya kujiuliza hapa...what if waliokamatwa sio wahusika wakuu, na kama wana mtandao ambao wanamtandao wengine wameshapata habari hizi kupitia hizi press comference huoni ni kama upatu wa kuwakimbiza? Nafikiri kuna mahali tunatakiwa tujitafakari upya!

Cc Mentor

Relax boss! Kila kitu kinafanywa kwa malengo..
 
Michael Mushi maarufu Massawe????? Kamanda hujaeleweka hapo
 
Mimi tangu ile issue ya Mungiki wa Ulimboka nilipoteza kabisa imani na kauli za huyu bwana,hata kwenye hii issue najiuliza mtu kaisha pora millioni ishirini,iweje aangaike kutafuta tena kazi kampuni za ulinzi za mshahara wa laki 2,tena atumie vyeti bandia na ni siku ni chache tu ,hata kama mgao wake ulikuwa milioni 5 ,bado zipo hazijapungua sana?
 
Back
Top Bottom