Kuna dogo mmoja naye aliwahi kufilisika kupitia utapeli wa aina hii hii. Kuna mwenzake alimdanganya eti Tunduma kuna waganga wa aina hiyo!
Akachukua milioni 10 ya mtaji na kuipeleka kwa mganga, akiamini itaongezeka! Matokeo yake dogo aliishia tu kutapeliwa, na mpaka leo hajafanikiwa kurudi katika kile kiwango chake cha biashara.
Binafsi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini eti mtu hawezi kufanya biashara, bila ya uchawi.