BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Mwendesha mashtaka mkuu ezekiel feleshi amewasilisha hati ya kufuta kesi iliyokua ikiwakabili watu 2 akiwemo meneja muhindi wa hotel ya SBR.
Wana jf ina maana yule kijana kauliwa na nani?
Uchunguzi kesi ya mauji umefanywa haraka haraka kulikoni?
Hapa harufu ya rushwa inanukia
Wana jf ina maana yule kijana kauliwa na nani?
Uchunguzi kesi ya mauji umefanywa haraka haraka kulikoni?
Hapa harufu ya rushwa inanukia