Kitendo cha kumtandika yule mama kimeonekana kweli kuwa ni ukatili sana, na kamwe haifai kuungwa mkono kwa vitendo vya namna hiyo!
..tatizo lipo bado kwa hawa wanaoamini hizi imani za kishirikina, kama maelezo yanavyusema kuwa alimuambia mama yake kuwa atamuua kwa uchawi bila shaka hiyo ndiyo iliyozua taharuki na hatimaye ikaamuriwa apigwe bakora!
Busara zaidi ingehitajika kutatua huo mgogoro, lakini pengine ilionekana huyo mama ni mtu hatari ikapelekea maamuzi kama hayo kutolewa!!
nimeamini mkono wa serikali cyo mfupi .pongezi kwa wote mlioshiki kwa namna moja ama nyingine hao watuhumiwa kukamatwa hili litasaidia kupunguza unyanyasaji wa kijinsia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.