Princess qute
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 621
- 552
Nimekosea kujaza mwaka kwenye namba ya mtihan ya o level nimeeka 2016 baada ya 2013 nifanyeje kuepuka kuitwa kwa waliokosea au sitoitwa kwa vile cheti cha matokeo kinaonesha mwaka sahihi. Naomba kujuwa tafadhali