walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga

walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
290
kama kuna walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga wanipe link ya majina ,nimepigiwa simu kwenye daladala sasa sikumbuki tena.

nijulisheni.niliomba post ya it wakasema jumanne ila hata eneo silijui
 
Umepigiwa simu na nani? Kijana utatapeliwa, Magereza hawaajiri saizi lands baadae kidogo. Nina jamaa zangu huko Wizara ya Mambo ya Ndani wamethibitisha hilo.
 
kama kuna walioitwa wizara ya mambo ya ndani ukonga wanipe link ya majina ,nimepigiwa simu kwenye daladala sasa sikumbuki tena.

nijulisheni.niliomba post ya it wakasema jumanne ila hata eneo silijui

Wizara ya mambo ya ndani Ukonga ndo nini?
 
kwani magereza walitangaza nafasi za kazi???? au ni blockers
 
Wizara ya mambo ya ndani Ukonga ndo nini?

kuna kazi za database walitoa muda kidogo,ndio wakapiga simu kwa ajili ya interview ukonga,ila sikumuelewa vizuri nilikuwa kwa daladala. sikujua hata ofisi zao huko ukonga ni mahali gani
 
kuna kazi za database walitoa muda kidogo,ndio wakapiga simu kwa ajili ya interview ukonga,ila sikumuelewa vizuri nilikuwa kwa daladala. sikujua hata ofisi zao huko ukonga ni mahali gani

Wizara ya mambo ya ndani haiko Ukonga. ninachokijua Ukonga ni Gereza kuu.
 
kuna kazi za database walitoa muda kidogo,ndio wakapiga simu kwa ajili ya interview ukonga,ila sikumuelewa vizuri nilikuwa kwa daladala. sikujua hata ofisi zao huko ukonga ni mahali gani

wamekupigia lin?
 
Ukonga pia kuna bwalo kuu la magereza, mara nyingi huwa linatumika kwa shughuli za usaili (interview)
 
itakua chuo cha magereza ukonga,lakini kwa nafasi anazozizungumzia huyo bwana zilikua zinahusu unhcr na sio magereza.

ilikuwa kama wanashirikiana na wizara kama mradi flani sio wizara 100%, ila tatizo lao wanapiga simu tu badala ya kutuma email au sms hawajui wengine huwa kwenye daladala kelele au sokoni. kama kuna aliyeitwa anijulishe
 
Back
Top Bottom