hawa jamaa wa geita hawako siriasi kabisa.mi walinipikia simu tarehe 10/9 siku ya jumatatu saa nne mchana kuwa natakiwa kuhudhuria interview siku ya jumanne tarehe 11/9 mchana,na interview yenyewe inafanyikia mwanza na dar wakati huo mi niko arusha.nikafikiria kuwa wanataka nipande ndege au wanafikiri nitafikaje dar au mwanza kwa mda huo.
Habari zenu wana jf, naomba nifahamishwe kwa mtu mwenye kufahamu taarifa za watu walioitwa kwente interview geita gold mining ltd kuwa wanatakiwa kutipoti lini?
Regards.