uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,653
- 26,389
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika
Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.
Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Wana njaa hao wafie huko huko