Tetesi: Waliohamia CCM kuunga juhudi za hayati Rais Magufuli sasa kurejea kwa kishindo CHADEMA kudai katiba mpya!

Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Kwamba Silinde arudi ccm? 😅😅
 
Nje ya mada

Ukweli utawaweka huru

Screenshot_20211016-092642.jpg
 
Mzee Halima Mdee jasho linamtoka haoni mbele hajui hatima yake.

Jumamosi iliyopita alijitia kwenda kumsalimu Mwenyekiti kaambiwa atulie tuli.
 
Mzee Halima Mdee jasho linamtoka haoni mbele hajui hatima yake.

Jumamosi iliyopita alijitia kwenda kumsalimu Mwenyekiti kaambiwa atulie tuli.
Kama Yuda Iskariote, alilitafuta mwenyewe, lishakuwa lake mwache akue nalo mpaka afe nalo.
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Waendage kwa Zito wakaunge Juhudi part two.
 
hahahaaa na mafisadi huwa wanabadirika kumbe akiwa chadema siyo fisadi akiwa ccm fisadi chadomo theory
Akiwa chadema ni kibaka anayejinyea ila akirudi ccm ni mwenzetu waziri mkuu mstaafu na mshauri wa Rais wa ccm.
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Habari njema
 
Acheni hao wanafiki wasaka tonge msiwape nafasi kabisa huko CDM hao ndiyo wachawi wa demokrasia.
Siku mkipevuka mtaelewa tu, wanasiasa wako kwenye siasa kwa maslahi yao sio kwa ajili ya kuwafurahisha nyie. Kama hilo ni gumu sana kuelewa basi kila la heri.
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

Hahhaaaaa ndiyo yale yale ya akina lowasa n.k......wanaenda vyama pinzani kisha wanarudi nyumbani kwao/ccm😅
 
Wanatajwa wengi tu kwamba wako mbioni kurejea Chadema baada ya mbeleko waliyoitegemea kukatika

Inasemekana wenye chama hawataki uchotara wanataka kuirudisha CCM katika misingi yake ndiposa makamanda waliofuata vyeo Lumumba wameanza kunyanyapaliwa kuanzia wizarani, Bomani, Mjengoni hadi Chamani.

Kwa kuwa hamna namna makamanda wanawaomba wana chadema wawapokee kama yule mwana " Mpotevu" wa kwenye Biblia.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Nikama wachezaji wa timu ndogo, wanaenda Simba na Yanga kuchukua hela tu,baada ya hapo wanarudi walikotoka...
 
Back
Top Bottom