Mpaka sasa CHADEMA wana machaguo mawili tu, kuunga juhudi za Rais wetu au wakubali kubaki chama kisicho na uwakilishi Bungeni

digba sowey

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
7,888
14,328
Wakuu hamjambo? Naomba kuwasilisha maada ifuatayo:

Wakuu nimepenyezewa taarifa ifuatayo ambayo imenifanya nitafakali sana dhidi ya hiki chama chetu cha Demokrasia na maendeleo.Habari kutoka jikoni zinadai kuwa kitendo cha Mh. Lissu kutangaza hadharani kuwa anayo nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho,mwenyekiti na wenye chama hawakufurahishwa na kitendo hicho na hivyo kuna uwezekana Wa lissu kukatwa na tetesi zinadai kuwa Lissu baada ya kukatwa atatimkia ACT-WAZALENDO


Licha ya chama hiki kuandamwa na dhoruba la kukimbiwa na Makamanda wake kitendo hicho kinadhidi kukidhoofisha chama hicho kwani kunauwezekana Wa kukosa uwakilishi Bungeni kulingana na hali ya chama kukosa dhamira ya kumtetea Raia wa kipato cha chini kama ambavyo CCM inavyofanya


Huku hali ikizidi kuwa mbaya kwa Chadema,baadhi ya wabunge wao hawana matumaini ya kurejea mjengoni mwaka 2020 ndio maana wengine wameanza kuunga mkono juhudi za Mh. Rais Magufuli kwa namna Mpya,baadhi ya wabunge ambao wanapumlia mrija ni J.Mbilinyi,PR.j ,mwenyekiti Wa chama ndugu DJ.Mbowe nk.hali hii inakuja baada ya wanachi kuchoshwa na porojo za Chadema za kupinga kila Jema lifanywalo na Rais wetu kitendo ambacho kimewakera sana wapiga kura na hivyo kuanza kuona ni heri kuchagua Ccm ambayo inaonesha juhudi dhahiri katika kumtetea na kumletea maendeleo Mwanachi

Kwa maoni yangu ni heri chadema wajitokeze hadharani wakili kuwa Jembe letu Magufuli linapiga kazi ili kujinusuru kukinywea kikombe cha mateso Mwaka 2020,tofauti na hapo ruzuku kwa heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu weka wazi ni kipi chadema imewafanyia wananchi Wa kipato cha chini kama sio mbwembwe tu
Dah sasa naamini kuna watu mlikunywa Bender's za CCM. Eti Chadema wameshindwa kutetea wananchi walio masikini, kwahiyo unataka kunambia CCM wametetea masikini?

Maendeleo hayana chama na nimetumwa na mabeberu

Barafu la moto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo? Naomba kuwasilisha maada ifuatayo:

Wakuu nimepenyezewa taarifa ifuatayo ambayo imenifanya nitafakali sana dhidi ya hiki chama chetu cha Demokrasia na maendeleo.Habari kutoka jikoni zinadai kuwa kitendo cha Mh. Lissu kutangaza hadharani kuwa anayo nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho,mwenyekiti na wenye chama hawakufurahishwa na kitendo hicho na hivyo kuna uwezekana Wa lissu kukatwa na tetesi zinadai kuwa Lissu baada ya kukatwa atatimkia ACT-WAZALENDO


Licha ya chama hiki kuandamwa na dhoruba la kukimbiwa na Makamanda wake kitendo hicho kinadhidi kukidhoofisha chama hicho kwani kunauwezekana Wa kukosa uwakilishi Bungeni kulingana na hali ya chama kukosa dhamira ya kumtetea Raia wa kipato cha chini kama ambavyo CCM inavyofanya


Huku hali ikizidi kuwa mbaya kwa Chadema,baadhi ya wabunge wao hawana matumaini ya kurejea mjengoni mwaka 2020 ndio maana wengine wameanza kuunga mkono juhudi za Mh. Rais Magufuli kwa namna Mpya,baadhi ya wabunge ambao wanapumlia mrija ni J.Mbilinyi,PR.j ,mwenyekiti Wa chama ndugu DJ.Mbowe nk.hali hii inakuja baada ya wanachi kuchoshwa na porojo za Chadema za kupinga kila Jema lifanywalo na Rais wetu kitendo ambacho kimewakera sana wapiga kura na hivyo kuanza kuona ni heri kuchagua Ccm ambayo inaonesha juhudi dhahiri katika kumtetea na kumletea maendeleo Mwanachi

Kwa maoni yangu ni heri chadema wajitokeze hadharani wakili kuwa Jembe letu Magufuli linapiga kazi ili kujinusuru kukinywea kikombe cha mateso Mwaka 2020,tofauti na hapo ruzuku kwa heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya pitia hapa chuki buk7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu hamjambo? Naomba kuwasilisha maada ifuatayo:

Wakuu nimepenyezewa taarifa ifuatayo ambayo imenifanya nitafakali sana dhidi ya hiki chama chetu cha Demokrasia na maendeleo.Habari kutoka jikoni zinadai kuwa kitendo cha Mh. Lissu kutangaza hadharani kuwa anayo nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho,mwenyekiti na wenye chama hawakufurahishwa na kitendo hicho na hivyo kuna uwezekana Wa lissu kukatwa na tetesi zinadai kuwa Lissu baada ya kukatwa atatimkia ACT-WAZALENDO


Licha ya chama hiki kuandamwa na dhoruba la kukimbiwa na Makamanda wake kitendo hicho kinadhidi kukidhoofisha chama hicho kwani kunauwezekana Wa kukosa uwakilishi Bungeni kulingana na hali ya chama kukosa dhamira ya kumtetea Raia wa kipato cha chini kama ambavyo CCM inavyofanya


Huku hali ikizidi kuwa mbaya kwa Chadema,baadhi ya wabunge wao hawana matumaini ya kurejea mjengoni mwaka 2020 ndio maana wengine wameanza kuunga mkono juhudi za Mh. Rais Magufuli kwa namna Mpya,baadhi ya wabunge ambao wanapumlia mrija ni J.Mbilinyi,PR.j ,mwenyekiti Wa chama ndugu DJ.Mbowe nk.hali hii inakuja baada ya wanachi kuchoshwa na porojo za Chadema za kupinga kila Jema lifanywalo na Rais wetu kitendo ambacho kimewakera sana wapiga kura na hivyo kuanza kuona ni heri kuchagua Ccm ambayo inaonesha juhudi dhahiri katika kumtetea na kumletea maendeleo Mwanachi

Kwa maoni yangu ni heri chadema wajitokeze hadharani wakili kuwa Jembe letu Magufuli linapiga kazi ili kujinusuru kukinywea kikombe cha mateso Mwaka 2020,tofauti na hapo ruzuku kwa heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
hujaandika namba ya simu!
pia hujataja wewe ni nani mpaka kutupangia!
wananchi huko mtara wameporwa koroshi zao bila kulipwa hawa watachagua wapinzani kama hujui jua.
watumishi wa umma hawajaongezewa mishahara tangu mtuchagulie hilo jitu lenu licha ya kuwa ni haki ya kisheria hawa watachagua wapinzani. kama hujui jua
wananchi wa Bukoba hawataichagua ccm
wale vijana waliosoma kwa tBu vyuoni na wamemaliza hawana ajira hawataweza kuwachagua kwanza wanaelewa upuuzi wenu coz wamesoma nk
WANANCHI MTAANI HAWALI MADARAJA NA NI MPUUZI KAMA WEWE AMBAYE HUWEZI FANYA TATHMIN HATA YA NYUMBA UNAHOISHI NDIYE UNAYEWEZA KUSIFIA HATA CHIZI AKINENGUA UKUMBINI
mtaji mkubwa wa ccm ni ujinga wa watz+ TISS kama wale walioiba/foji vitambulisho leo ni MADC+ POLICCM NA JWTZ + TBCCCM
BILA HIVYO HAKUNA KITU
 
Chadema ni chama kinachojali demokrasia ya kweli vikiwemo uchaguzi huru na wa hali unaosimamiwa na Tume huru ya uchaguzi, uhuru wa Watanzania na haki ya kujadili mustakabali wa nchi bila ya hofu wala vitisho, uhuru wa vyombo vya habari kuandika chochote lile bila hofu ya kufungiwa au wanahabari kukamatwa na kubambikiwa kesi au hata kuuwawa, uhuru wa wabunge kujadili chochote kile chenye maslahi kwa Tanzania na Watanzania bila woga wala hofu kutoka kwa dikteta na dhalimu ya kubambikiwa kesi, Bunge lisilo DHAIFU/MFU kukaa kimya pale trillions zinapochotwa kiharamia hazina bila idhini ya Bunge, kuheshimu mahakama bila kuingiliwa na yeyote yule na uhuru wa vyama vyote kukutana popote pale nchini na kuandamana na katiba mpya ya rasimu ya Tume ya Warioba.

Huu UPUUZI wako uliouandika peleka kwa mazwazwa wenzio pale lumumba si humu.

Wakuu hamjambo? Naomba kuwasilisha maada ifuatayo:

Wakuu nimepenyezewa taarifa ifuatayo ambayo imenifanya nitafakali sana dhidi ya hiki chama chetu cha Demokrasia na maendeleo.Habari kutoka jikoni zinadai kuwa kitendo cha Mh. Lissu kutangaza hadharani kuwa anayo nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama hicho,mwenyekiti na wenye chama hawakufurahishwa na kitendo hicho na hivyo kuna uwezekana Wa lissu kukatwa na tetesi zinadai kuwa Lissu baada ya kukatwa atatimkia ACT-WAZALENDO


Licha ya chama hiki kuandamwa na dhoruba la kukimbiwa na Makamanda wake kitendo hicho kinadhidi kukidhoofisha chama hicho kwani kunauwezekana Wa kukosa uwakilishi Bungeni kulingana na hali ya chama kukosa dhamira ya kumtetea Raia wa kipato cha chini kama ambavyo CCM inavyofanya


Huku hali ikizidi kuwa mbaya kwa Chadema,baadhi ya wabunge wao hawana matumaini ya kurejea mjengoni mwaka 2020 ndio maana wengine wameanza kuunga mkono juhudi za Mh. Rais Magufuli kwa namna Mpya,baadhi ya wabunge ambao wanapumlia mrija ni J.Mbilinyi,PR.j ,mwenyekiti Wa chama ndugu DJ.Mbowe nk.hali hii inakuja baada ya wanachi kuchoshwa na porojo za Chadema za kupinga kila Jema lifanywalo na Rais wetu kitendo ambacho kimewakera sana wapiga kura na hivyo kuanza kuona ni heri kuchagua Ccm ambayo inaonesha juhudi dhahiri katika kumtetea na kumletea maendeleo Mwanachi

Kwa maoni yangu ni heri chadema wajitokeze hadharani wakili kuwa Jembe letu Magufuli linapiga kazi ili kujinusuru kukinywea kikombe cha mateso Mwaka 2020,tofauti na hapo ruzuku kwa heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aibu yako Mtoa Mada, Pamoja na Raisi kutoa kauli bado --mmepora pesa za wanyonge

FAO LA KUJITOA
 
Back
Top Bottom