Chadema imesha kufa,kila opararion imefeli,chaguzi ndio wametumia Bil 3,,chopa 3,wakaambulia kata tatu.
Kalenga holaaa
chalinze chiniiiii
Maandamano yamebuma
hata wale vijana wa kutunga uongo aki na Yeriko na Saa nane nao wamegoma kutumikishwa.
Andamana wewe sisi tuachie chama pendwa chenye mikakati ya kisomi.
ACT -TANZANIA ndio habari ya mjini,na utaikubali ACT siku ukimjua M2 ni nani.