Waliopata kuwa viongozi wa CHADEMA wilayani iramba mkoa wa singida na kuhamia ACT,wameomba kurejea Chadema.Taarifa za uhakika kutoka wa viongozi waandamizi wa chadema wilaya na mkoa zimethibitisha habari hii kuwa ni kweli.
Viongozi waliotajwa kurejea chadema ni aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya ndago bwana Salehe Maganga, aliyekuwa katibu mwenezi kata ya urugu Hamisi Mtoa na aliyepata kuwa mwenyekiti wa chadema wilaya iramba Hasan Sembe.
Walipohojiwa walidai sababu za kuomba kurejea Chadema ni pale walipogundua kuwa ACT sio chama cha upinzani ila ni mawakala wa Ccm,na wanasema waliahidiwa kupewa pesa na Kitila Mkumbo ili wahame Chadema lakini kawatapeli. Wamedai Chadema ndio chama chenye kubeba matumaini ya watanzania.SOURCE viongozi wa chadema singida.
Viongozi waliotajwa kurejea chadema ni aliyekuwa mwenyekiti wa chadema kata ya ndago bwana Salehe Maganga, aliyekuwa katibu mwenezi kata ya urugu Hamisi Mtoa na aliyepata kuwa mwenyekiti wa chadema wilaya iramba Hasan Sembe.
Walipohojiwa walidai sababu za kuomba kurejea Chadema ni pale walipogundua kuwa ACT sio chama cha upinzani ila ni mawakala wa Ccm,na wanasema waliahidiwa kupewa pesa na Kitila Mkumbo ili wahame Chadema lakini kawatapeli. Wamedai Chadema ndio chama chenye kubeba matumaini ya watanzania.SOURCE viongozi wa chadema singida.