Habari?
Kwa Wale waliofanya interview tarehe 13 kuna yeyote aliyepigiwa simu au utaratibu ukoje,? Maana tulipewa location ya written na oral kabisa, oral inakaribia lakini sielewi mwongozo ukoje.
Je ni mpaka tuitwe au na oral tunapaswa kwenda? Msaada tutani.