Kwa sasa wahariri wengi wa vyombo vya habari hasa magazeti, wapo mifukoni mwa mafisadi.
Katika miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000s kulikuwa na magazeti na wahariri walitoa mchango mkubwa sana kuihabarisha jamii na kuibua uozo na kashfa kubwakubwa ndani ya Serikali na wafanyabiasha wakubwa kwa ujasiri mkubwa.
Baadae miaka ilivyozidi kwenda moto ule ukaanza kupungua makali yake na wahariri kugawanyika vipandevipande.
Why? Kwa sababu media ilianza kuingiliwa na wenye fedha hasa wafanyabiasha waliogundua njia nzuri ya kuwanyamazisha wanahabari ujasiri ni kuwatia 'mfukoni' .... Penyeza rupia... oops....hapo wahariri wanahabari wazalendo kabisa wakalegea kabisa kama mlenda!!
Kwa kweli kwa sasa suala la vibrance na upendo kwa nchi miongoni mwa wahariri wengi limebaki kuwa ni historia.
Hivi sasa wahariri wengi wanawatumikia wafanyabiasha na wanasiasa sio jamii.
WAFANYABIASHARA ndio wamechangia sana kuiua media na kuifanya ibakie kama a tooth less dog! Ama joka la kibisa! Baadhi ya hao mabwanyenye ni Rostam Aziz na vibaraka wake.
Kundi la pili lililoharibu ujasiri wa editors ni wanasiasa. From both CCM na Chadema wamewagawa sana wanahabari.
Hivi sasa habari zinaandikwa kwa kutegemea chama au mwanasiasa gani anatoa dau kubwa. Rushwa imetawala baadhi ya magazeti.
Mtu kama Lowassa amechangia sana kupooza ukali wa baadhi ya wahariri kwa kutumia fedha na ushawishi wake kuwahonga.
Kwa baadhi ya wahariri waandamizi, Lowassa ni "infallible figure"!! Mtagundua kuwa ni wanasiasa mafisadi ndio huwa wana tabia ya ku attempt kuwarubuni wanahabari kwa kutumia vihela vyao.
Wahariri wengi wenye 'mafanikio' ni wale waliojenga 'urafiki' na wanaotuhumiwa kuwa mafisadi kama niliotaja.
Kundi lingine lililochakachua ubora wa wahariri ni baadhi ya wakuu wa vyombo vya mashirika ya umma. Nani asiyejua kuwa wamewahonga sana jamaa hawa ili labda kufunika uozo mbali mbali. Baadhi yao ni Dk Dau? ama Erio? au Irene wa SSRA.
Kundi jingine lililoleta utepetevu katika magazeti na media kwa ujumla ni Serikali.
Hivi sasa State limeleta hofu na perplexity ndani newsrooms.
Sheria zilizotungwa hapa katikati zinadaiwa kukandamiza uhuru wa habari. Ni Serikali ya 'waoga' isiyotaka kukosolewa. Wanataka kusifiwa tu.
Mbinu za baadhi ya wanahabari kutaka kuchukua alternative ya kujipendekeza kwa rais haijafanikiwa kwani wa sasa haingiliki, hahongeki.
JPM huyu ndiye ambaye wakati anachukua fomu ya kugombea urais hakuna journalist aliyehongwa kama ilivyotokea wakati 'safari ya matumaini' ikizinduliwa kule Arusha.
Kweli mkamia maji... hayanywi!!!
Katika miaka ya 90 na mwanzoni mwa 2000s kulikuwa na magazeti na wahariri walitoa mchango mkubwa sana kuihabarisha jamii na kuibua uozo na kashfa kubwakubwa ndani ya Serikali na wafanyabiasha wakubwa kwa ujasiri mkubwa.
Baadae miaka ilivyozidi kwenda moto ule ukaanza kupungua makali yake na wahariri kugawanyika vipandevipande.
Why? Kwa sababu media ilianza kuingiliwa na wenye fedha hasa wafanyabiasha waliogundua njia nzuri ya kuwanyamazisha wanahabari ujasiri ni kuwatia 'mfukoni' .... Penyeza rupia... oops....hapo wahariri wanahabari wazalendo kabisa wakalegea kabisa kama mlenda!!
Kwa kweli kwa sasa suala la vibrance na upendo kwa nchi miongoni mwa wahariri wengi limebaki kuwa ni historia.
Hivi sasa wahariri wengi wanawatumikia wafanyabiasha na wanasiasa sio jamii.
WAFANYABIASHARA ndio wamechangia sana kuiua media na kuifanya ibakie kama a tooth less dog! Ama joka la kibisa! Baadhi ya hao mabwanyenye ni Rostam Aziz na vibaraka wake.
Kundi la pili lililoharibu ujasiri wa editors ni wanasiasa. From both CCM na Chadema wamewagawa sana wanahabari.
Hivi sasa habari zinaandikwa kwa kutegemea chama au mwanasiasa gani anatoa dau kubwa. Rushwa imetawala baadhi ya magazeti.
Mtu kama Lowassa amechangia sana kupooza ukali wa baadhi ya wahariri kwa kutumia fedha na ushawishi wake kuwahonga.
Kwa baadhi ya wahariri waandamizi, Lowassa ni "infallible figure"!! Mtagundua kuwa ni wanasiasa mafisadi ndio huwa wana tabia ya ku attempt kuwarubuni wanahabari kwa kutumia vihela vyao.
Wahariri wengi wenye 'mafanikio' ni wale waliojenga 'urafiki' na wanaotuhumiwa kuwa mafisadi kama niliotaja.
Kundi lingine lililochakachua ubora wa wahariri ni baadhi ya wakuu wa vyombo vya mashirika ya umma. Nani asiyejua kuwa wamewahonga sana jamaa hawa ili labda kufunika uozo mbali mbali. Baadhi yao ni Dk Dau? ama Erio? au Irene wa SSRA.
Kundi jingine lililoleta utepetevu katika magazeti na media kwa ujumla ni Serikali.
Hivi sasa State limeleta hofu na perplexity ndani newsrooms.
Sheria zilizotungwa hapa katikati zinadaiwa kukandamiza uhuru wa habari. Ni Serikali ya 'waoga' isiyotaka kukosolewa. Wanataka kusifiwa tu.
Mbinu za baadhi ya wanahabari kutaka kuchukua alternative ya kujipendekeza kwa rais haijafanikiwa kwani wa sasa haingiliki, hahongeki.
JPM huyu ndiye ambaye wakati anachukua fomu ya kugombea urais hakuna journalist aliyehongwa kama ilivyotokea wakati 'safari ya matumaini' ikizinduliwa kule Arusha.
Kweli mkamia maji... hayanywi!!!