waliochaguliwa Lyamungo high school.

je, kuna walimu wa kutosha na Maabara yenye vifaa?
 
Usinikumbushe lyamungo maana nakumbuka enzi zile za miaka ya tisini nilipoingia form one na kula samaki ziitwazo kwaya
 
Jaman wote mliochaguliwa lyamungo nawajuza kuwa 2na bfu na umbwe sec so udumishe ushnd zd yao
 
manase kastaf 2011 aisee wkt cc 2naondoka pale f6.

Dah!!. Mmenikumbusha mbali sana. Namkumbuka huyo mzee ulikuwa ukimkorofisha lazima akutoe nduki na mwiko ama tonge la ugali.
Ila alikuwa hapendelei mtu yeyote katika kugawa msosi.
Hivi akina Mwalimu Chicago, Urage, Lyaruu, Mzuzu,Temba bado wapo kweli?
 
Lile shamba la weruweru bado lipo?
Vp kuhusu wanywa mbege bado wapo?
 

Lyaruu aliondoka 2008 , Urage nlmwacha na miss Bahat. Temba aka baba pendeza nlimwacha.
 
Mchhhhh!! Shenziiii, unapiga scrambo!!! Mchhhhh!! Uku akingata meno!! Nani uyo ???????
 
Dah JF iwe na age restriction.Kumbe tuko na watoto wa shule humu jamvini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…