Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Jamani jana nimesikia kwenye redio kwa waliochaguliwa JWTZ kutakuwa na vipimo mbalimbali mmoja wapo ni yale matatizo yeu ya kuniga..kama utabahatika nkutakia kila la kheri na hata ukikosa kwa ajili ya vipimo Mungu anakupenda zaidi na anajua wapi utafaa nafasi nzuri ya kazi...pengine ukuependa kuukwaa lakiini moja ya mashrti yao mwenye mambo yetu wanamdis,,,nahisi hii kitu serikali waangalie upya
kila la kheri mwana JF aliechaguliwa na atakaepita bila kupingwa
kila la kheri mwana JF aliechaguliwa na atakaepita bila kupingwa