Walio mtwara 2saidiane

Walio mtwara 2saidiane

G.com

Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
21
Reaction score
5
anayejua kampuni ya Adexec iliyo uhuru road plz msaada
 
Hakuna kampuni kama hiyo ni matapeli hao. Kwani hawajakwambia umeitwa kwa interview lakini wanataka utume pesa kwanza?
 
wamemtumia mtoto wangu eti atume elf 50 kwa tigopesa kwa ajili ya accomodation siku ya interview. nashawishika kuamini kuwa wote ni matapeli

waambie kwamba mnayo nyumba ya kufikia huko mtwara, hakuna sababu ya kutuma za accommoation
 
Ndg zangu watu waaina hiyo wamezidi sana. Sasa tujizatiti na tusidanganywe kutuma pesa yoyote. Hebu tuwe na msimamo" Hatumi Mtu Hela".
 
Hilo tena? Tulilitumia sms lijamaa, si unajua sms za bure? Basi bila aibu likajibu hiyo hairuhusiwi kumbe lengo tunalitafutia ushahidi tutapolikamata tulishitaki kwa utapeli tuwe na evidence zaidi
 
waambie kwamba mnayo nyumba ya kufikia huko mtwara, hakuna sababu ya kutuma za accommoation




Hilo tena? Tulilitumia sms lijamaa, si unajua sms za bure? Basi bila aibu likajibu hiyo hairuhusiwi kumbe lengo tunalitafutia ushahidi tutapolikamata tulishitaki kwa utapeli tuwe na evidence zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom