Walio macho muda huu tutambuane

Nikisikia mtu anataja hiii mi sisisemu usingizi wote unaruka nakumbuka vijisenti tu na hela ya mboga
 
1.mamvi
2.maviroba
3.mafunguo
4.maembe
5.mzee wa swaga za macho aka wakusizi mjengoni
........
 
Hivi mabilionea wa Tanzania kama vile Mzee wa vijisent 1.6 billion cash, mama Tiba mbadala 1.6 billion cash ukiachia zilizo benk. Hawa bia wanakosaga usingizi kama nilivyoukosa leo kwa sababu ya kuishiwa ?
 
1.mamvi
2.maviroba
3.mafunguo
4.maembe
5.mzee wa swaga za macho aka wakusizi mjengoni
........

Kiongozi kwenye maviroba umeniacha kidogo. anatokea mkoa gani ?
 

mbona unam ignore mjukuu wa wazanaki aka mako!!?
 
viashilia vinaonesha lowassa hana muda mrefu tutamzika! muacheni amwage mbesa jamani coz hakuna mtu huzikwa na manoti!
Nashauri CCM wasilikate jina lake mapema ili angalau atuachie urithi.
cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Lowasa yuko fit physically. Nilimshudia leo anakimbia kupanda jukwaani

aaah wapi , atumie gari kama yupo fit tuone , lowassa mgonjwa jamani hata huko ikulu itakuwa kama tumepeleka mfu kaburini hakuna kazi yoyote atakayoifanya zaidi ya kushinda hospital. mziki wa kampeni si mchezo jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…