Asante kwa taarifa,wengine tuko mbali kupata magazeti siyo rahisi,kama kuna mtu anaweza kutuwekea hapa majina msaada tafadhali.wale waliofanya usaili wa nafasi za uhakimu majina yametoka leo The Guardian june 22 kwa waliochaguliwa hongereni...
Waliopata wakajitahidi kuwa waadilifu hasa kutojihusisha na vitendo vya rushwa.