Walinzi wa jkt

Walinzi wa jkt

Joined
Dec 16, 2017
Posts
32
Reaction score
8
fbe274849080c2dd99c2f7ce3164e344.jpg
 
Wao ni walinzi Kama walinzi wengine
 
Naomba kuuliza swali :-
Askari kwa mujibu wa sheria haruhusiwi/hawajibiki kulipa nauli kwenye vyombo vya usafiri vinavyomilikiwa na watu Binafsi?
 
Wanunue magari yao... Kwani mishahara yao wanafanyia nini?
 
Nishakumbana nao hawa jamaa wanamkomalia kondakta hawataki kulipa nauli, kwa madai wao ni askari.. Wenye kujua waje watusaidie hapa hawa jamaa SUMA JKT ni askari?
 
Kwa mujibu wa sheria kuu na sheria ndogondogo za nchi hii hakuna anayeruhusiwa kupanda gari la abiria(usafiri wa umma) bila malipo.
Hata askari na maofisa wa majeshi mbalimbali hawaruhusiwi.
Kama mwanafunzi asiyepokea mshahara analipa angalau nusu ya nauli, je, askari aliyeajiriwa?
Tena wanafunzi wengine wazazi au walezi wao ni duni mno.
Hii ilianzia utawala wa Mwinyi, kuna kipindi wanafunzi wa Dar es salaam walipewa ofa ya kupanda bure ndipo wanajeshi nao wakasema nasisi tunalinda nchi twapanda bure. Na majeshi mengine yakafuata mkumbo.
Mimi naomba wanafunzi wapande bure hasa wa S/msingi.
 
Labda konda alijaribu kurusha ngumi..akashughulikiwa haraka haraka
 
Hao watakuwa wahuni na kesi ya kujeruhi au shambulio LA kudhuru Mwili linawahusu
 
Hawa jamaa wanaboa sana.... mfano pale feli busisi jamaa wanajisikia utadhani kila anaesafiri ni mjinga kama wao
Siku moja natoka geita nafika pale kwa nje naona akina mama wanauza samaki nikaenda kununua tulikua watu wengi jamaa linakurupuka rudini ndani nikamwambia nasubiri chenji kwa maza hapa jamaa linakomaa nasema rudi ndani amri ya jeshi ni moja rudi ndani nikamwambia sitaondoka mpaka nilipwe pesa yangu... na kama tatizo ni hilo kwann wasiwazuie wamama wasilete samaki pale..
Siku ya pili juzi naenda geita asubuhi... feri moja mbovu alafu eneo la kukaa abiria wanafanya usafi nadhan walifika pale wanajua palivyo pachafu buibui pale ndo ikulu abiri tukawa nje jamaa moja linakuja kwa jazba nasema ingieni ndani watu wanasema pachafu jamaa alikomaa akasimamisha usafi watu wakae ndani tumekaa ndani mle pachafu...
Alafu hawa jamaa wakivaa hizi sare uwa zinawadanganya sana nadhan
 
kama hawakua na nauli wangeomba msaada kwa konda awasidie wanakoenda kabla hata hawajaingia ndani ya gari..........yani kama hao ilibidi kwanza wapokee kichapo kizito cha wananchi then wapelekwe polisi.

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom