ms babysitter
Member
- Nov 2, 2014
- 55
- 5
Ni kweli kuwa mshahara wa kwanza lazima uupokelee mkononi kutoka halmashauri? Namaanisha kuwa mshahara wa kwanza kabisa hauingizwi kwenye account yako?
Tangu mshahara wa kwanza unapokelea benki.Ndio maana wafanyakazi wapya wanatakiwa kufungua akaunti benki na kuzipeleka akaunti namba zao kwa mwajiri wao.HAKUNA MFANYAKAZI YOYOTE HATA MWALIMU ANAYEPOKEA AU ALIYEPOKEA MSHAHARA WA KWANZA MKONONI.KAMA HUNA AKAUNTI NAMBA,HUPATI MSHAHARA.
siku hizi hakuna utaratibu huo..mishahara yote inapitia benki ndo mana walimu wapya wanatakiwa kujiunga na benk ili kupata akaunt(NMB wamehodhi nafasi hiyo)