zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
jana nimepita shule nyingi za dodoma nikakuta kuna mgomo wa walimu,baadhi yao wakasema walimu wasiogoma ni wasaliti,Nikawakatalia kuwa si wasaliti,mwalimu amefundisha miaka 30 nyuma,amebkiza miaka 2 astaafu leo mnamwambia agome Atagoma huyu? hapo anatetea Maslah yake kundi hili lisiguswe kbs,na hawataki kupoteza Haki zao...gafla nikatoweka na walimu wa 3 wa kiume wakitaka kuwapga walimu waliogoma kugoma ambao ni watu wazima sana,Niliwambia jambo moja tu,Anaejiona Yeye mwamba Awaguse walimu hao...Nilishajawa na U van dame na wangejuta.
Hakuna kulazimishana kugoma,mtu agome kwa kuifata akili yake ilivyo mtuma na si kwa ku lazimishwa.Si wote wadai haki kwa Mabavu ,Wengine wanalalamia Tumboni na kusubiri miujiza.
Hakuna kulazimishana kugoma,mtu agome kwa kuifata akili yake ilivyo mtuma na si kwa ku lazimishwa.Si wote wadai haki kwa Mabavu ,Wengine wanalalamia Tumboni na kusubiri miujiza.