Ni Kweli walimu hao wamepigana wakigombana kuhusu michango ya shule, ni shule ya kata pekee yenye michango mingi hapa Tanzania, michango kwa mwaka inafika zaidi 250000 /= afu ni ya day
Hawawashindi "baadhi" makada aseee. . . . ., .wako makada mataahira bhana au we hujwahi kukutana na kiongozi wao laki si pesa. . . . .ndio utajua maana halisi ya taahira