Walimu wapata Chama mbadala cha kuwatetea

Walimu wapata Chama mbadala cha kuwatetea

Naona ukombozi kwa walimu, watachangia 5000 tu badala ya 2% waliyokuwa kule kwa awali, watachagua Viongozi ngazi zote badala ya kuwa wenye hati miliki ya Chama.

Soma katiba yao.
Vyama vitaanza minyukano huku mwajiri akiregulate uzito wa ndondi
 
Walimu wakielewa kuwa hiki chama kipya kimekuja ili kuwakomoa wale waliokataa teuzi, wala hawawezi kushangilia. Wasisahau, mwenzako akinyolewa...
 
Naona ukombozi kwa walimu, watachangia 5000 tu badala ya 2% waliyokuwa kule kwa awali, watachagua Viongozi ngazi zote badala ya kuwa wenye hati miliki ya Chama.

Soma katiba yao.
Haitachukua muda nacho kitakuwa tawi la CCM.
 
Walipo Anza kufuta Walimu wa grade A hvi labda Mambo yatabadilika kidogo Ila Kuna Walimu na matichazi🤣
 
Naona ukombozi kwa walimu, watachangia 5000 tu badala ya 2% waliyokuwa kule kwa awali, watachagua Viongozi ngazi zote badala ya kuwa wenye hati miliki ya Chama.

Soma katiba yao.
Jina tu linamkimbiza mtu. Graphics za katiba ziko hovyo, hapo tu panamkatisha tamaa mwanachama mtarajiwa.
 
Afadhali hapo ipo kwenye kiwango cha kuchangia .

Ambapo ni kitu kizuri.

Na inavyoonekana jamaa wa kile cha zamani tayari wamo humu kuleta discouragement walimu watie shaka kujiunga kipya.

Wastukieni haraka.
 
Back
Top Bottom