Mzee Ngonyani
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 1,400
- 2,729
Hi
Hizo tabia ni za watumishi woteKuna wakati mtu analazimika kusema hivyo, binafsi nimewahi kuwa mwl..kada hiyo inaongoza kwa unafiki wa wao kwa wao, kusengenyana, wivu, kuchongeana kwa viongozi, kujipendekeza na vitabia vingi vya aina hiyo...