MKWANO
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 234
- 161
Kwann mkuuwalimu ni watu wa hovyo itoshe kusema tu hayo, Nawasilisha.
We mwenyewe Avatari yako inanuka Bang,non sensewalimu ni watu wa hovyo itoshe kusema tu hayo, Nawasilisha.
Bila shaka unamanisha walimu Wana mioyo kigumu ya kuwa wanachama wa CWT,ni kweli lakini jiulize nani anawapa nguvu CWT ya kuwaibia walimu bila uwoga wowote? Na je kama wanalindwa kiasi hicho wanaweza kuwakosoa wanao walinda?Ila kuna watu wana mioyo migumu nyie mmnh!
Nani aliyekipiga mkwara, na kwa nini? Maana mfanyakazi ana haki ya kujiunga na chama chochote kile cha wafanyakazi akipendacho.Mei mosi kilipigwa mkwara
Huwaga mnpayuka Kwa kumlaumu mwalimu bila kujua Hali halisi !! Huwa namshangaa Sana mtu anaeponda walimu bila sababu za msingi!? Hivi unawezaje kusema mtu ni WA hovyo!? Wewe ni WA.maana kiasi Gani!?una Nini!?walimu ni watu wa hovyo itoshe kusema tu hayo, Nawasilisha.
1. Chama kipya mwalimu ameomba kuingia mwenyewe, ameomba kukatwa 5,000 mwenyewe so mwajiri hawezi kubadili hicho kiasi kamwe .Hata Azam tv wakati wanaanza kurusha matangazo yao, malipo yao kwa mwezi ilikua elfu 12 tu!!! Wenyewe wanakuambia AzamTv burudani kwa wote.....leo hii vipi? Burudani kwa wote inaendelea?
Bila shaka unamanisha walimu Wana mioyo kigumu ya kuwa wanachama wa CWT,ni kweli lakini jiulize nani anawapa nguvu CWT ya kuwaibia walimu bila uwoga wowote? Na je kama wanalindwa kiasi hicho wanaweza kuwakosoa wanao walinda?
Chartism+ Luddism
Kama unasema hili kwa nia njema fafanua ni kwa jinsi gani walimu ni watu wa hovyo.Vinginevyo tutaelewa umekariri tu kwa kusikia wengine wanasema hivyo,au wee ni mvuta bangi tu na hakuna kingine chenye maana maishani mwako isipokuwa bangi.walimu ni watu wa hovyo itoshe kusema tu hayo, Nawasilisha.
Kuna wakati mtu analazimika kusema hivyo, binafsi nimewahi kuwa mwl..kada hiyo inaongoza kwa unafiki wa wao kwa wao, kusengenyana, wivu, kuchongeana kwa viongozi, kujipendekeza na vitabia vingi vya aina hiyo...Huwaga mnpayuka Kwa kumlaumu mwalimu bila kujua Hali halisi !! Huwa namshangaa Sana mtu anaeponda walimu bila sababu za msingi!? Hivi unawezaje kusema mtu ni WA hovyo!? Wewe ni WA.maana kiasi Gani!?una Nini!?
Hakuna kada iliyo nyooka,hata ukienda jeshini vilio vya watu kuchongeana ni vingi sana,ni hulka za watu walio kwenye kada mbali mbali.Kuna wakati mtu analazimika kusema hivyo, binafsi nimewahi kuwa mwl..kada hiyo inaongoza kwa unafiki wa wao kwa wao, kusengenyana, wivu, kuchongeana kwa viongozi, kujipendekeza na vitabia vingi vya aina hiyo...