Walimu wanatumiana sms hii

Walimu wa Jamaica wanakuja subiri watakoma kuringa
 
Walimu now days wanaandika Hedings wanafungua JF AU FB NA WHTSUP WANACHAT. Yani wana udhuria poa na kusaini then wana poz. Ukiwakagua wako poa wanakila ki2. Kazi kwenu wazazi Mjibebee private serekali Imebinafsishaga Elimu long tym ndo maana hawajali. So uwalimu ni chanz za kupata salary siku ziende. Walimu huku kwetu ndo wafany busnez wakubWA WANAMADUKA TOYO MASHAMBA N.K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…