dad24
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 464
- 121
Shule ya sekondari Bravo yenye namba ya usajili S.2394 iliyopo Ifakara Wilaya ya Kilombero mkoa wa morogoro inatangaza nafasi za kazi ya kufundisha masomo yafuatayo:-
1.Physics/Mathematics
2.Book-keeping/Commerce
3.English/Kiswahili
4.English/History
5.Biology/Chemistry
Sifa za muombaji:
1)Awe na stashahada au Shahada ya ualimu
2)Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu
3)Awe na uwezo wa kutumia kompyuta
Mshahara:
Mshahara mzuri pamoja na marupurupu utatolewa Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na
Mkuu wa shule,
S.L.P 238,
Ifakara,Morogoro
Namba za simu:0784-364850/0757-070915/0713-788033
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 10/4/2014 na usahili utafanyika tarehe 12/4/2014 shuleni Bravo Ifakara wilaya ya kilombero mkoa wa morogoro.
Kwa kazi zingine usisite kutembelea AJIRA ZETU
1.Physics/Mathematics
2.Book-keeping/Commerce
3.English/Kiswahili
4.English/History
5.Biology/Chemistry
Sifa za muombaji:
1)Awe na stashahada au Shahada ya ualimu
2)Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu
3)Awe na uwezo wa kutumia kompyuta
Mshahara:
Mshahara mzuri pamoja na marupurupu utatolewa Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na
Mkuu wa shule,
S.L.P 238,
Ifakara,Morogoro
Namba za simu:0784-364850/0757-070915/0713-788033
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 10/4/2014 na usahili utafanyika tarehe 12/4/2014 shuleni Bravo Ifakara wilaya ya kilombero mkoa wa morogoro.
Kwa kazi zingine usisite kutembelea AJIRA ZETU