Vasco wa degamer
Senior Member
- Feb 21, 2016
- 194
- 144
Ili kubadili na kupunguza kuporomoka kwa elimu yetu, maamuzi yanatakiwa yatolewe juu na walimu wakuu na wakuu wa shule za Serikali.
Ili mwalimu akifundisha ajisikiavyo/kizembe kizembe yeye afukuzwe tu bila kusubiri mwajiri wake/mkurugenzi, kama ilivyo kwa shule binafsi.
Ili mwalimu akifundisha ajisikiavyo/kizembe kizembe yeye afukuzwe tu bila kusubiri mwajiri wake/mkurugenzi, kama ilivyo kwa shule binafsi.