Mmoja wa walimu hao ambaye hakutaka kutajwa gazetini akihofia kushughulikiwa na wanafunzi hao alisema amelazimika kuikimbia pamoja na walimu wenzake wote, kwa kuwa wameshindwa kudhibiti tabia hiyo kutokana na vijana hao kuungwa mkono na wazazi wao.
Nyie wapumbavu sana mnaoangalia kila kitu tatzo ni chama fulan, hilo nalo kweli linauhusiano na chama. Mambo mengine muwekage pembeni tofauti zenu za vyama.
WALIMU wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ruaruke wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani, wameitelekeza shule hiyo kutokana na kukithiri kwa vitendo vya baadhi ya wanafunzi kuwadhalilisha kimapenzi, ikiwamo kuwabaka baadhi yao.
Habari zilizolifikia gazeti hili jana zimeeleza kuwa mbali na udhalilishaji huo, wanafunzi hao wamekuwa wakiwatishia maisha walimu wao kwa namna mbalimbali. Katika moja ya vitisho hivyo, wamechoma moto nyumba zao tatu.Habari hizo zimeeleza kwamba walimu hao wamelazimika kuikimbia shule hiyo baada ya baadhi ya walimu wa kike kutongozwa na wanafunzi, kupigwa mabusu kwa nguvu hadharani, kutishiwa kuchomwa visu na kuchorwa vikatuni vya kudhalilisha.
Source Mwananchi 12/06/2012
My Take.
Hii ni Laana ya CCM na Serikali yake
badae hawa waislam wataanza kulalamikia mfumo kristo... Upuuzi kama huu huwezi kuusikia kwenye mikoa ya watu wenye akili na wapenda shule
hao walimu waliokimbia shule kwa kubakwa na wanafunzi wachunguzeni akili zao kama ziko sawa, kwani mwanafunzi kumbaka mwalimu wake si jambo la kawaida hiyo inawezekana kama mwalimu alikuwa anamfundisha mtoto mapenzi
Maeneo haya kuwapelekea walimu na shule ni kuwakosea haki zao za msingi. Huko wangewapelekea maduka ya dawa za asili na .......... lakini sio shule.
Uliotamalaki huko ni ushirikina na maisha ya hovyo hovyo.