Walimu wakatwa kodi ya nyumba

Walimu wakatwa kodi ya nyumba

jakamot

Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
51
Reaction score
4
Katika hali isiyo ya kawaida halmashauri ya musoma vijijini imeanza kukata kodi za nyumba za shule,walimu hawa wanakatwa kodi kulingana na ngazi ya mishahara, makato haya yanaonekana moja kwa moja salary slip,kibaya zaidi walimu wanahamasishwa kuishi katika mazingira ya shule hata ili watoe huduma nzuri kwa watoto, kinyume na matarajio wakatwa hata bila kushirikishwa! je hii ni haki? mnisaidie!
 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida walimu katika halmashauri ya musoma vijijini wanakatwa kodi ya nyumba za shule bila makubaliano yao. walituhamasisha kuishi katika nyumba za shule ili tutoe huduma nzuri kwa wanafunzi kumbe haya ndo makusudio yao? Alisema mmoja wa walimu katika hali ya unyonge,makato haya yanaonekana katika salary slip na yanakatwa kila mwezi kulingana na ngazi ya mishahara. IS THIS FEAR? Nyumba hazina sakafu, zinavuja mvua ikinyesha mwisho wa mwezi nakatwa tena kwa lazima! Haki itendeke tunaiomba ngazi husika waitazame swala hili kwa makini la sivyo walimu wataogopa kuishi kwenye nyumba za shule. Naomba michango yenu wadau!!
 
for sure waalimu wa nchi hii wanafanywa kujutia kuwepo hapa tz make they are being sucked to leave them barely poor for their life

ila hizi kodi mbona heri ya ukoloni sasa make duh!
 
walimu walio wengi ujinga na umaskini wa akili ndo umetawala maisha yao, tumewashauri waitose ccm but stil wanava tsht na kofia, mungu waangazie waendelee kufaidi matunda ya kura yao
 
Unataka wakae bure? Kama wanaona wananyanyaswa wahamie nyumba za mitaani
 
walimu walio wengi ujinga na umaskini wa akili ndo umetawala maisha yao, tumewashauri waitose ccm but stil wanava tsht na kofia, mungu waangazie waendelee kufaidi matunda ya kura yao

Lakini mbona walimu waliitosa *** na kuchahua ******* ila kulitokea tu dhuluma wakapindua matokeo. Msiwalaumu kabisa walimu....!!!!
 
Back
Top Bottom