Walimu wahamishwa na kutelekezwa

Walimu wahamishwa na kutelekezwa

Crypto1987

Senior Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
137
Reaction score
100
WALIMU WATELEKEZWA WILAYA YA KWIMBA.

Tunaomba idara zinazohusika ziwasaidie walimu Hawa.

Ni uhamisho ulotolewa kwa walimu wengi ndani ya wilaya hii ya KWIMBA ILIYOPO MKOA WA MWANZA.

Uhamisho umetolewa siku nyingi Sana 25/03/2019.
Lakini cha ajabu walimu Hawa wametelekezwa,
Hawajapelekwa kwenye vituo vyao vipya,
Wengine wanalazimika kusafiri km kadhaa kwa miguu au baiskel ili kufika kufundisha katik vituo vyao vipya.
Wengine hawaendi ktk vituo vyao vya kazi kutokana na umbali wa shule ilipo.

Ikumbukwe kuwa halmashari zingine zimewalipa walimu wao muda mrefu saana, Iweje wilaya hii ya Kwimba?

Je kwa nini mkurugenzi kahamisha walimu bila kuandaa stahiki zao?

Kitendo hiki kinaangamiza taaluma makazini, mwalimu anahamishwa, anakaa miezi 6 bila kupewa stahiki zake, bila kupelekwa kituo kipya, kufeli kwa wanafunzi mara nyingi inachngiwa na viongozi wa juu mfano mkurugenzi.

WALIMU HAWA WANAOMBA SERIKALI IINGILIE KATI, ILI WAWEZE KULIPWA STAHIKI ZAO NA KUPELEKWA KTK VITUO VYAO VIPYA
 
Hapa kuna jambo la kuchunguza inawezekana kuna uzembe mkubwa umefanyika, iweje mtu apewe uhamisho halafu akae nyumbani bila kufanya kazi kwa miezi sita huku mshahara wake unaingia?

Mwalimu Mkuu amechukua hatua gani?
Afisa elimu kata amechukua hatua gani?
Afisa elimu wilaya amefanya nini?
Afisa elimu mkoa amechukua hatua gani?
Vipi kuhusu viongozi wengine ngazi ya Wilaya na Mkoa?
 
Aione: PM, Mwalimu Majaliwa Kassimu Majaliwa.
 
WALIMU WATELEKEZWA WILAYA YA KWIMBA.

Tunaomba idara zinazohusika ziwasaidie walimu Hawa.

Ni uhamisho ulotolewa kwa walimu wengi ndani ya wilaya hii ya KWIMBA ILIYOPO MKOA WA MWANZA.

Uhamisho umetolewa siku nyingi Sana 25/03/2019.
Lakini cha ajabu walimu Hawa wametelekezwa,
Hawajapelekwa kwenye vituo vyao vipya,
Wengine wanalazimika kusafiri km kadhaa kwa miguu au baiskel ili kufika kufundisha katik vituo vyao vipya.
Wengine hawaendi ktk vituo vyao vya kazi kutokana na umbali wa shule ilipo.

Ikumbukwe kuwa halmashari zingine zimewalipa walimu wao muda mrefu saana, Iweje wilaya hii ya Kwimba?

Je kwa nini mkurugenzi kahamisha walimu bila kuandaa stahiki zao?

Kitendo hiki kinaangamiza taaluma makazini, mwalimu anahamishwa, anakaa miezi 6 bila kupewa stahiki zake, bila kupelekwa kituo kipya, kufeli kwa wanafunzi mara nyingi inachngiwa na viongozi wa juu mfano mkurugenzi.

WALIMU HAWA WANAOMBA SRRIKALI IINGILIE KATI, ILI WAWEZE KULIPWA STAHIKI ZAO NA KUPELEKWA KTK VITUO VYAO VIPYA.View attachment 1223062
Wewe lete harakati upoteze ajira. Uje kijiweni tukufundishe kubet
 
Umeficha nini na kumbukumbu namba iko wazi?
 
WALIMU WATELEKEZWA WILAYA YA KWIMBA.

Tunaomba idara zinazohusika ziwasaidie walimu Hawa.

Ni uhamisho ulotolewa kwa walimu wengi ndani ya wilaya hii ya KWIMBA ILIYOPO MKOA WA MWANZA.

Uhamisho umetolewa siku nyingi Sana 25/03/2019.
Lakini cha ajabu walimu Hawa wametelekezwa,
Hawajapelekwa kwenye vituo vyao vipya,
Wengine wanalazimika kusafiri km kadhaa kwa miguu au baiskel ili kufika kufundisha katik vituo vyao vipya.
Wengine hawaendi ktk vituo vyao vya kazi kutokana na umbali wa shule ilipo.

Ikumbukwe kuwa halmashari zingine zimewalipa walimu wao muda mrefu saana, Iweje wilaya hii ya Kwimba?

Je kwa nini mkurugenzi kahamisha walimu bila kuandaa stahiki zao?

Kitendo hiki kinaangamiza taaluma makazini, mwalimu anahamishwa, anakaa miezi 6 bila kupewa stahiki zake, bila kupelekwa kituo kipya, kufeli kwa wanafunzi mara nyingi inachngiwa na viongozi wa juu mfano mkurugenzi.

WALIMU HAWA WANAOMBA SRRIKALI IINGILIE KATI, ILI WAWEZE KULIPWA STAHIKI ZAO NA KUPELEKWA KTK VITUO VYAO VIPYA.View attachment 1223062
Mkuu hapo hujaficha kitu, namba ya file lako iko wazi, pia kule chini kwenye nakala ya shule utokayo na shule uendayo, utajulikana kirahisi sana
 
Mkuu hapo hujaficha kitu, namba ya file lako iko wazi, pia kule chini kwenye nakala ya shule utokayo na shule uendayo, utajulikana kirahisi sana
Afisa elimu nakuona ushamdaka mhalifu wako tayari.
Madhara ya kutojua kumbukumbu namba.
Jamaa atapata shida sana kwa mfumo wa serikali navojua.
Hajaficha kitu
 
Pole mwalimu ila ungeweka na barua yako ya madai ya uhamisho tuone DED alisema nini hii pekee yake haitoshi kuthibitisha kuwa haujalipwa!
 
Walimu wanAkwamishwa na viongozi wao wa juu hasa maafisa elimu na wasaidizi wao,
Wapo wamekalia ubinafsi , majungu,chuki ,kutaka kutukuzw na wakati wamejaa umaskini tu shenzy type nyie maafisa Uchwara.
 
Back
Top Bottom